Recent content by batamzinga

  1. batamzinga

    Kwa mazoezi ya Mandata niliyoyaona Oysterbay nashauri Kesho timizeni haki yenu muondoke

    Kwa hiyo we gentamycine muda wote Huo mpaka figo zinafeli na zinaamka ulikua unachungulia kwenye hilo toboo?
  2. batamzinga

    Ufafanuzi wa Maana ya Mwanaume wa Dar es salaam.

    Nimeona Mara nyingi hii phrase "Wanaume wa Dar". Kwa sentesi moja hebu tujuzeni " Wanaume wa Dar".
  3. batamzinga

    Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

    Sawa mkuu. Tuelezee na ile ya kushika korodani ili mbwa wasibweke.
  4. batamzinga

    Nini madhara ya Konyagi. Wale wa mawazo pumba changieni pia

    Wana jamii, Naomba maelekezo. Kwa muda mrefu nimekua natumia vinywaji vya bei mbaya kama vile johnny walker black na Glenfiddich. Sasa vyuma vimekaza nimejaribu konyagi naona kama iko poa lakini bei yake rahisi sana. Ebu nipeni ubaya wa konyagi.
  5. batamzinga

    Unaikumbuka Brazil hii ya mwisho kubeba Kombe la Dunia?

    Nimeamini kuna makinda humu kha!!
  6. batamzinga

    Kila nikigombana na mke anakimbilia kwa marafiki, wazazi na ndugu; walio kwenye ndoa hii imekaaje?

    Wakati mwingine wanajisahau mwelimishe asiweke mambo ya ndani(dirty laundry) hadharani, watu wanamchora...
  7. batamzinga

    Kwa hii Ndege vita ya JWTZ iliyopita sasa hapa Dar mnaotaka chokochoko mjipange upya mtaumia

    Watu humu wako negative hamna tena dunia nzima. Gentamycine nakubaliana na wewe ule muungurumo na kasi haikua kawaida mpaka mbwa wangu German shepherd alikua anatetemeka na ni mbwa anaeaminika mtaani.
  8. batamzinga

    Kapotelea wapi Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM) Mh. Nimrod Mkono?

    Naskia amefilisika hata hawezi kulipa mishahara. Watendaji wake wakubwa wamesepa wameanzisha practice zao kwa hiyo mkono advocates iko hoi bin taaban, halafu Alzheimer ime kick in. Ila kasaidia sana musoma vijijini kwa kujenga shule za maana.
  9. batamzinga

    Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...

    Hayo ni mawazo ya kale na kikoloni. Utaweza kufanya hivyo iwapo mkweo ni mbumbumbu tena wa kijijini.kwa mfano mke wako ni msomi na anakazi nzuri anapewa simu kazini utamkataza?
  10. batamzinga

    Kwa wahenga tu. Juma Pondamali na mbwembwe zake

    Wahenga, tukumbushane mbwembwe za Juma Pondamali, alikua analeta burdani kwenye soka hamna tena.
  11. batamzinga

    Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

    Mpe supu ya kongoro kutwa mara mbili asubuhi na kabla hajalala. Baada ya wiki tatu njoo utueleze mkuu.
  12. batamzinga

    Orodha ya Mamilionea 10 wapya wanaotamba Tanzania

    Kwa kifupi, Uchumi wetu umeshikiliwa na wahindi, waarabu. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. batamzinga

    Mke wangu anadai niifukuze familia ya kaka nyumbani

    Kula mzigo sheikh Sent using Jamii Forums mobile app
  14. batamzinga

    Maneno na kauli maarufu kwenye utawala wa JPM

    Jaza Ujazwe Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom