Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,072
- 8,772
Nimetembelewa na jamaa angu wa dar,jana tulitoka kwenda sehemu kuangalia mpira, uku na kule Bakayoko akakosa goli ye na kipa jamaa likakurupuka kwa Sauti Eti "OHOO JOMONI BAKAYOKO UNAKOSAJE HAPO JOMONI" nyie wa dar mnatuaibisha wenyeji wenu uku mikoani