Recent content by bashiromar

  1. B

    Zitto hayuko tayari kuwa kiongozi!

    Jamani hebu mtufafanulie hivi huyu Zito ni mtu wa aina gani mbona anajadiliwa sana mitandaoni na kwenye media mbalimbali kuliko wanasiasa wengine?
  2. B

    Nyalandu aifanyia kazi video ya Mch. Msigwa

    Fukuza huyo msaliti ameishaanza kununuliwa na CCM inakuwaje mpaka amsifu waziri wa CCM?Hivi huyu naye sio msaliti kweli?
  3. B

    Wizara ya Nishati yashindwa kuficha madudu yake!

    Zitto ameliongelea sana mkamwita kila aina ya majina.Sasa leö kiko wapi mnarudia tu aliyokwishasema mda mrefu.Hivi kwa nini nyie misukule sijui wafuasi wa vyama mnakuwa na kitu inaitwa Double standard?
  4. B

    Samwel Sitta: UKAWA wakivimba kichwa,bmk itaangalia uwezekano wa kubadirisha sheria ya theluthimbili

    Sitta anataka kucheza na akili za watanzania,kwani wanashindwa nini kubadilisha kanuni na hata sheria column ya wajumbe wa CCM mbona inatosha kufanya hayo hata kwenye bunge la kutunga sheria.Sasa kwa nini mpaka awabembele UKAWA?
  5. B

    Who created God? Who made him? Where did he come from?

    Hivi wewe unaweza kumuuliza baba yako cheti cha ndoa ya mama yako?
  6. B

    Mamluki: Hoja nyepesi ya kuua demokrasia ndani ya vyama

    Kwa sasa vydma vya upinzani mpinzani wao ni yule mwenye mawazo au anayetofautiana kifikra na viongozi wa juu,si CCM tena.Na hiyo misukule na wafuasi kushindwa kulitambua hilo.
  7. B

    Zitto: Tanzania to lose up to $1b under StatOil PSA: Open these Oil and Gas Contracts

    Unajua sasa hivi CCM sio tatizo kwa CHADEMA tatizo wao wanaangalia nani anataka kuvuruga maslahi yao tu huyo ndio wanaemuandama.
  8. B

    Zitto: Tanzania to lose up to $1b under StatOil PSA: Open these Oil and Gas Contracts

    Kila analoongelea Zito hata kama lina maslahi ya taifa,misukule iliyomo ndani ya Chadema haiwezi kumpa promo au big up wao wanasubiri Lema au Slaa auMbowe hata wakijamba wao watasifia.Elimu ya kukariri ni mbaya sana iko inaliangamiza taifa.
  9. B

    Hongera Hamphrey Mpolepole, umetufumbua macho vijana

    Hayo hayo angeyasema Zito mngekuja na matusi wala msingesifia kama mnavyo comment hapa.
  10. B

    Lema: Dhambi kubwa kuliko zote duniani ni dhambi ya woga

    Haya kinukishe we tangaza dau tu watu hawana ajira.Utarecruit mpaka mwenyewe utasema basi.Siku hizi watu hawashabikii maneno we ukisema ajira tu utashangaa walikotokea lakini maneno matupu mtaishia kudanganyana tu.
  11. B

    Kwanini naamini CCM inaanguka rasmi?

    Kama mumelielewa hilo lakutoondoka kwa sanduku la kura basi mmeanza kujitambua.Sasa bwana Yericko jaribu kuwaelimisha hao misukule wengine wa Chadema kuhusu hilo tumeishawaeleza saana lakini hawataki kukubali matokeo ya chaguzi zetu mshindi anajulikana kabla hata ya kupiga kura.kura huwa ni...
  12. B

    Maswi: Zitto na Kafulila ni washenz* na wala rushwa...! Asisitiza Kafulila ni 'tumbili'

    Tanzania tuna mtihani mgumu.Hawa vijana waliofakamia vyama vya siasa kwa kudhani ndio vitawaondoa kwenye huo ulalahoi bila kuhangaika watatusumbua saana na hizo fikra zao za kukaririshwa.Sasa hapo hizo comment za matusi kwa Kafulila na Zito ni kwa sababu tu hawako Chadema,jamani tusiwe na double...
  13. B

    CCM yakubali kutumia sera na mawazo ya CHADEMA. Sasa kuunda Economic Inteligence!

    Huo ndio uzalendo tukiweka kando uvyama,udini, ukabila,ubaguzi wa rangi.Hapo ndio tutaendelea,Huu uchadema unccr,uccm,ndio umetupotezea uzalendo.Tujaribu kwenye masuala yenye maslahi ya taifa tuwe wamoja.Tanzania kwanza vyama baadae.
  14. B

    Nahitaji mume muislamu

    Weka picha.
  15. B

    Alshabaab/Anti balaka/Boko haram/Ukristo/Uislamu na Ugaidi

    Maana ya neno islam ni AMANI.Kwa hiyo hata uislam hauna mafundisho ya hayo wanayofanya Boko haram-Alshabaaab-na Ant balaka.Hayo ni magenge ya wahuni yanayotumiwa na nchi za magharibi kuchafua Uislam.
Back
Top Bottom