bashiromar
Member
- Sep 19, 2013
- 43
- 6
Jamani hebu mtufafanulie hivi huyu Zito ni mtu wa aina gani mbona anajadiliwa sana mitandaoni na kwenye media mbalimbali kuliko wanasiasa wengine?
Kuna waliosema nimetukana watu wa Kigoma lakini nia yangu ilikuwa kuonyesha fikra za wanasiasa sio binafsi. Number hazidanganyi. Tunaona mbali wengine
Laiti mgalijua!.ZZK ni habari nyingine kabisa!. Endeleeni kujifariji!.
P.
Laiti mgalijua!.ZZK ni habari nyingine kabisa!. Endeleeni kujifariji!.
P.
Zitto akiibuka ukawa inakufa, Watanzania wanamkubali Zitto Kabwe kuliko mnavyodhani.
Laiti mgalijua!.ZZK ni habari nyingine kabisa!. Endeleeni kujifariji!.
P.