Nahitaji mume muislamu

Nahitaji mume muislamu

Upo tayari kuwa mke wa tatu....? Kuna jamaa yangu anataka kuongeza mke nikulengeshe, yupo vizuri tu kimaisha
 
kuwa ktk ndoa ya mke zaidi ya mmoja sio tatizo coz kuna wanawake wameolewa na mwanaume mmoja i mean mmewake yeye mwenyewe but wanataabika sana.So chamsingi awe na mapenzi bora na ampende huyo mtoto ambaye sio wake.NUKTA
 
inshaallah kwa uwezo wa allah ajalie umpate yule wa hitaji lako tena nakuombea asiwe muislam jina
 
  • Thanks
Reactions: HMS
[Nipo tayari kukuoa
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1403501652.211992.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1403501652.211992.jpg
    58.4 KB · Views: 158
All the Best dada,Mungu akupiganie umpate mume bora....naamini hadi kufikia kuweka tangazo umepitia mengi na umejifunza mengi....
Angalizo sisi wanaume hatupendi mdada mwenye kisirani,muongeaji sana,mwenye dharau...asiye na utii na mengine kama hayo...
Jaribu kuangalia ulipokosea usije ukakuta mumeo unayemtamfuta ni jirani ako au ni mfanyakaz mwenzio sema unavyojiweka kunamfanya anashindwa kuamini kama akikuweka ndani mtawezana? Kwa sababu sio wanaume wote wanashida ya kupiga wanawake makofi
 
Mwezi wa ramadan..kwa ajili ya kujipikia uji..... tafuta muda zaidi hata baada ya Ramadan....
 
Mimi ni muislamu na mwajiriwa wa serikali
nina miaka 37 na mtoto mmoja wa kiume
ninahitajimume mwislamu kuanzia miaka
38-50, ninaishi dares salaam
kwa aliyeayari tuwasiliane kwa namba
0719 470666 au 0788 598855


Usichoke kusubiri, Mola atakujaalia ombi lako. Insha'Allah
 
hii hapa chini ni meseji ya mdada mwenye hizo namba inaonekana mtu kamfanyizia......... mode tafadhali fanya mchakato....

Naomba km unaweza kunauwezekano unisaidie kudelete hy notification pls kuna mtu ametuma bila ridhaa yangu napata usumbufu to th maximum.....
Kuna Rafiki angu yp uholanzi yy amepata fiancé kwenye mtandao ss wakati tunachaty cjui akajua nahitaji ndo akapoct
 
bibie una mtoto mmoja je uliwahi kuolewa? ila kipindi wachumba wa kiislamu si wazuri wanatafuta wa kuwapikia futari tu, ngoja mfungo uishe ili uendelee na usaili.

nakutakia kila la kheri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom