Recent content by Barca

  1. Barca

    JamiiForums Tanzania Ina maana TEC walikosa hata katekista kuwawakilisha kwenye report ya jaji Chande.

    Hata TEC nao wanaweza kukaa kimya na maisha yakaenda. Shida ya TEC ni kuamini kwamba wao ndo wanastahili zaidi kuliko yeyote. Hawaamini kama Rais ni Samia. Hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais. Wanafikiri tunaongoza nyumba ya mapadre. Utafikiri huwa wwaanashiriki mchakato ya uchaguzi. Hii...
  2. Barca

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    Hata Tanzania kwenyewe tumepata sana mwaka huu. Tutahifadhi tuuze msimu ujao
  3. Barca

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nyalandu: Serikali ilienda kulinda watu, tuna ushahidi waandamanaji walikuwa na bunduki na mabomu

    Serikali haijawahi kushindwa 😂
  4. Barca

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Special guest siyo mgeni rasmi. Bali ni mgeni maalum. Ambaye kwa umaarufu wake yawezekana ni kwenda kuchekesha.
  5. Barca

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Kama una uwezo nenda kapandikize kwa huyo mkeo upate wa kiume hata mapacha. Badala ya kuleta mgogoro kwenye famillia. Kuzaa nje hasa kwa ndoa za kikristo na kama una uchumi wa kuunga unga inakuwa changamoto sana Hasa kwenye mgawanyo wa mali. Kama una uchumi mzuri basi kila mwanamke mfanye...
  6. Barca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwanini hii dharau ina kuja automatically?

    Mbaya zaidi kama kakusimbua sana. Hadi akikupa mbo.o hasimami 😂 😂. Unaweza jihisi huna nguvu za kiume kumbe ni stress tu. Afu ukitafakari alivyo kusumbua hadi hamu inaisha
  7. Barca

    JamiiForums Tanzania Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!

    Fr Kitima angekuwa ameoa nyumba ingekuwa ya mipasho tu. Wangekuwa wanajibizana kwa vifungu vya Biblia. Nongwa haziishi. Fr kitima hawezi kuwa mshauri mzuri wa maswala ya utu.
  8. Barca

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Iran imeonewa lakini kushambulia nchi ambazo hazipo katika vita nae ni kuongeza maadui

    Hajashambulia majirani. Bali kashalbu Hajashambulia majirani. Yeye kashambulia base Za ulinzi za Marekani. Wao kuruhusu Marakeni aweke base Kwenye Nchi zao ili kumshughulikia Iran huo nao ni uchokozi na uchochezi. So kwangu mimi wamestahili
  9. Barca

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Weka UTT AMIS mfuko wa Liquid fund kama kweli unayo hiyo million 500, ambapo utapata faida ya 1% kila mwezi sawa na million 5 kila mwezi na kwa mwaka utapata million 60. Hapa utakuwa huna haja ya kufanya kazi utakuwa naamka asubuhi ufanye mazoezi tu. Lakini hii million 5 unaweza kufanya vitu...
  10. Barca

    JamiiForums Tanzania Askofu Ruwai'chi: Tusiwe Wakatoliki wa Vijora na kuhongwa

    Katika maisha yangu yote nimekuwa naona maaskofu wanaoheshimika. Ila nimekuja kugundua kumbe hata maaskofu huwa wapo wa hovyo. Mtu mzima kuendeleza ligi ni ukubwa ujinga. Kuna ligi nyingine wakati mwingine ni vema ukaacha kwasababu hazikusaidii. Askofu mzima kujibizana na wavaa vijora Ni...
  11. Barca

    JamiiForums Tanzania Askofu Ruwa'ichi: Kuna lofa mmoja ameandika barua kumshitaki Padri Kitima. Huyo si mkristu, ni kibaraka, msaliti, mnafiki na ndumilakuwili

    Hakuna mtu anayetetea serikali. Lakini si afya kuendelea kuchinganisha watu badala ya kuwaunganisha. Huu ni uchochezi wa hali ya juu sana. Hawa viongozi wana PhD. Sasa PhD zao zitumike kuunganisha watu kwa kuleta maridhiano siyo kutukana mimbalini. Wala kuharibu amani ya nchi. Hizo haki...
  12. Barca

    JamiiForums Tanzania Askofu Ruwa'ichi: Kuna lofa mmoja ameandika barua kumshitaki Padri Kitima. Huyo si mkristu, ni kibaraka, msaliti, mnafiki na ndumilakuwili

    Askofu kiazi sana huyu. Mimi nimeacha kwenda kanisani, sioni umuhimu kwenda kusikiliza mawazo ya watu yanayo bomoa umoja na mshikamano. Ni heri nibaki nyumbani nimejifungia kuliko kwenda kanisani nikaongeza hasira. Nitakuwa namkosea Mungu sana. Kanisa katoliki sijalizoea hivi. Si kanisa la...
  13. Barca

    JamiiForums Tanzania Askofu Ruwa'ichi: Kuna lofa mmoja ameandika barua kumshitaki Padri Kitima. Huyo si mkristu, ni kibaraka, msaliti, mnafiki na ndumilakuwili

    Kujibizana na muumini na kuanza kumkana nako ni kukosa uvumilivu. Ni kwasababu hana dola. Unaweza ona hasira zake, maneno ya kifedhuli mbele ya Yesu ekaristi unatamka matusi. Huyu angekuwa na dola angeua kila mtu. Siyo mtu mzuri kabisa.
  14. Barca

    JamiiForums Tanzania Askofu Ruwa'ichi: Kuna lofa mmoja ameandika barua kumshitaki Padri Kitima. Huyo si mkristu, ni kibaraka, msaliti, mnafiki na ndumilakuwili

    Huyu askofu naye tushamchoka. Kazi yake kuchochea vurugu tu wakati wote. Sasa waumini hamtaki walalamike. Kwahiyo Nyie ndo mnahaki ya kusema hata ambavyo sisi hatutaki. Huu nao ni udikteta. Mimi naamini barua inajibiwa kwa barua. Kama kweli nyie ni viongozi wajibuni kwa barua. By the way unajibu...
  15. Barca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi ishi na rafiki au ndugu mlokole mpenda dini ki ghetto ghetto pindi mkijitafuta?

    Nimeishi naye jamaa mlokole. Nikiwa std 7 yeye alikuwa form 1. Hawa jamaa wanafiki sana. Na wachoyo. Tunalala kitanda kimoja ila anapika chakula anakula pekee yake. Ni heri uishi na mlevi atakuletea Hata Nyama choma. Pia nimeishi nao nikiwa chuo kikuu. Hawa jamaa wachoyo, wabaguzi. Yaani...
Back
Top Bottom