Na huku Geita ni kwasababu ya Bwawe la Mwalimu Nyerere? Mwaka huu ulisha tangazwa ni mwaka wa elnino. Mbona hamuelewi. Haya mafuriko tulisha ambiwa tuchukue tahadhari.
Reference yetu ingekuwa mafuriko ya 1998 wakati wa mvua za elnino. Barabara ya Kusini ilikuwa haipitiki
Mafuriko ya mto Rufiji yapo miaka yote. Siyo sasa tu. Miaka enzi na enzi hata kabla ya daraja mkapa mafuriko yalikuwepo. So tusianze kumlaumu mtu wala serikali. Bwawa litapinguza sana madhara ya mafuriko.
Makala hata dumu, hana ushawishi. Kwasasa hatuhitaji mwenezi father tunataka mwenezi kijana mwenye vibes. Makala mpenda rushwa. Team JK inayumbisha sana chama kwa mtazamo wangu. Bado sioni kwanini Makonda katoka. Mapungufu yake angeweza ambiwa tu abadilike.
Mbunge wa Simanjiro Olesendeka ashambuliwa Kwa Risasi usiku huu na watu wasiojulikana. Amefutwa na gari Kwa muda na alipofika katikati ya Ng'abolok na Irkiushi, Kibaya, gari iliyokuwa ikimfuatilia ilijifanya kama inataka kupita na ghafla kuanza kumimina risasi kadhaa kuelekea mlango wa dreva...
Yahya ni jina la kiarabu maana yake ni Yohana mbatizaji. Kwamba Yohane au John kwa Kiswahili/English ni Yahya kwa Kiarabu. Hizi dini tunafanana mengi. Siku tukiamua kuelewana tunatengeneza dini moja yenye kumwabudu Mungu mmoja.
Waziri wa Kilimo bado hajasema. Kwani kibali kilitolewa na nani. Utaratibu wa kuingiza bidhaa kama chakula nani anashughulikia. Ni namna gani tunalinda soko la ndani kwa mazao tunayo zalisha ndani
?
MIAKA MITATU YA JPM;HAYATI RAIS JOHN MAGUFULI ANAISHI KWENYE MAWAZO NA FIKRA ZA WATANZANIA.
Leo 17:30hrs 15/03/2024
Miaka mitatu sasa tangu Hayati Rais John Pombe Magufuli afariki akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,tuliosoma falsafa na historia tumekutana na hoja kwamba mtu hafariki...
Nitakuunga mkono kwa dhuluma ya uaminifu lakini si dhuluma ya kura za 2015. 2015 Lowasa alipigwa na CCM ilishinda kwa kishindo. Ingawa ushindi ulikuwa wa magine ndogo. So acha kupotosha. Maswala ya urafiki wao hapo nakuunga mkono. Ila kura za 2015 Dr John Pombe Joseph Magufuli alishinda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.