Recent content by Barca

  1. Barca

    Ujenzi wa Bwawa la Umeme Rufiji, Je ISO 9001:2015 & ISO 45001:2018 Zilifuatwa?

    Na huku Geita ni kwasababu ya Bwawe la Mwalimu Nyerere? Mwaka huu ulisha tangazwa ni mwaka wa elnino. Mbona hamuelewi. Haya mafuriko tulisha ambiwa tuchukue tahadhari. Reference yetu ingekuwa mafuriko ya 1998 wakati wa mvua za elnino. Barabara ya Kusini ilikuwa haipitiki
  2. Barca

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Mafuriko ya mto Rufiji yapo miaka yote. Siyo sasa tu. Miaka enzi na enzi hata kabla ya daraja mkapa mafuriko yalikuwepo. So tusianze kumlaumu mtu wala serikali. Bwawa litapinguza sana madhara ya mafuriko.
  3. Barca

    Nimemfuma mke wangu akiliwa uroda daaah! Nimemuomba msamaha na yeye ameniomba msamaha tumesameana

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aise Mungu nihurumie
  4. Barca

    Bado CCM hakujatulia. Naziona teuzi na tenguzi nyingine muda si mrefu

    Makala hata dumu, hana ushawishi. Kwasasa hatuhitaji mwenezi father tunataka mwenezi kijana mwenye vibes. Makala mpenda rushwa. Team JK inayumbisha sana chama kwa mtazamo wangu. Bado sioni kwanini Makonda katoka. Mapungufu yake angeweza ambiwa tu abadilike.
  5. Barca

    Aprili 1, 2024: Gridi ya Taifa yapata Hitilafu, TANESCO waomba radhi

    Siku ya wajinga duniani. Isije kuwa utani
  6. Barca

    Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

    Mbunge wa Simanjiro Olesendeka ashambuliwa Kwa Risasi usiku huu na watu wasiojulikana. Amefutwa na gari Kwa muda na alipofika katikati ya Ng'abolok na Irkiushi, Kibaya, gari iliyokuwa ikimfuatilia ilijifanya kama inataka kupita na ghafla kuanza kumimina risasi kadhaa kuelekea mlango wa dreva...
  7. Barca

    Kifo cha Magufuli, Tanzania ilipata hasara ya karne moja, maumivu yake yatawafikia hata walioshangilia

    Bila ukatili hii nchi haitembei. Tukienda kwa mwendo wa kubembelezana hivi hadi watumishi watamkoromea boss wao
  8. Barca

    Jina la Israel na maana yake

    Yahya ni jina la kiarabu maana yake ni Yohana mbatizaji. Kwamba Yohane au John kwa Kiswahili/English ni Yahya kwa Kiarabu. Hizi dini tunafanana mengi. Siku tukiamua kuelewana tunatengeneza dini moja yenye kumwabudu Mungu mmoja.
  9. Barca

    Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo: Waagizaji hawakupaswa kuleta mchele wa Msaada kutoka Marekani kwani Tanzania ina hazina ya mchele

    Waziri wa Kilimo bado hajasema. Kwani kibali kilitolewa na nani. Utaratibu wa kuingiza bidhaa kama chakula nani anashughulikia. Ni namna gani tunalinda soko la ndani kwa mazao tunayo zalisha ndani ?
  10. Barca

    Miaka mitatu ya Hayati Magufuli, anaishi kwenye mawazo na fikra za watanzania

    MIAKA MITATU YA JPM;HAYATI RAIS JOHN MAGUFULI ANAISHI KWENYE MAWAZO NA FIKRA ZA WATANZANIA. Leo 17:30hrs 15/03/2024 Miaka mitatu sasa tangu Hayati Rais John Pombe Magufuli afariki akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,tuliosoma falsafa na historia tumekutana na hoja kwamba mtu hafariki...
  11. Barca

    Hayati Magufuli kaingia madarakani kakuta Wanaccm wanaogopa Kuvaa Sare mitaani, ameondoka kaacha hadi Mawaziri wanavaa Sare popote!

    Just matter of time. Tutarudi huko [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Tunabweteka
  12. Barca

    John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

    Mbona hakusema akiwa hai. Anatafuta huruma ili arudi bungeni. Kitaa kugumu [emoji23] [emoji23]
  13. Barca

    Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

    Nitakuunga mkono kwa dhuluma ya uaminifu lakini si dhuluma ya kura za 2015. 2015 Lowasa alipigwa na CCM ilishinda kwa kishindo. Ingawa ushindi ulikuwa wa magine ndogo. So acha kupotosha. Maswala ya urafiki wao hapo nakuunga mkono. Ila kura za 2015 Dr John Pombe Joseph Magufuli alishinda kwa...
Back
Top Bottom