Obsessive-Compulsive Disorder (OCD) is a chronic, long-term mental health condition characterized by a distressing cycle of obsessions and compulsions.
Nenda hospital muone psychiatrists Kwaajili ya ushauri na pengine uanze dawa. Cha kukupongeza ni kkuwa angalau umejjua shida na ukoo positive...
Nyie wa ajira mpya ya mwaka huo bado hamjafiikia umri wa kupandishwa madaraja. Na hakuna malimbikizo ya mshahara hapa. Labda kama hukupata mishahara ya mwanzo wakati umepata ajira. Kupandishwa kwenu ni kuanzia mwaka ujao yaani Julai hii au kikao cha Safari hii. Acheni kulalamika fanyeni kazi
Tanzania 🇹🇿 ni nchi huru, na Tanzania ni nchi isiyo fungamana na upande wowote. Kwa hiyo hatuwezi pangiwa rafiki wa kushirikiana naye. So far Russia ni nchi kubwa pamoja na changamoto zake Bado sisi tupo huru kushirikiana. Lakini uhusiano wetu na Russia 🇷🇺 haujaanza leo. Umeanza tangu tulipo...
Kuacha kazi hamuwezi that's one. Lakini Na nyie wauguzi acheni u much know. Shida yenu mnataka ukubwa kila mahali. Nyie mtabaki kuwa wasaidizi daima katika carrier yenu. Acheni Kabisa hiyo. Hakuna sehemu utaenda palipo na wauguzi ukakuta pako shwari, Kila mahali migogoro yenu haiishi si vyuoni...
Yaani wewe muuguzi afu huamini kama kuna ug
Yaani wewe muuguzi afu huamini Kwenye tiba uliyo somea. Hii nayo yawezekana ni chanzo cha ugomvi wenu pia. Aise dah
Hata TEC nao wanaweza kukaa kimya na maisha yakaenda. Shida ya TEC ni kuamini kwamba wao ndo wanastahili zaidi kuliko yeyote. Hawaamini kama Rais ni Samia. Hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais. Wanafikiri tunaongoza nyumba ya mapadre. Utafikiri huwa wwaanashiriki mchakato ya uchaguzi. Hii...
Kama una uwezo nenda kapandikize kwa huyo mkeo upate wa kiume hata mapacha. Badala ya kuleta mgogoro kwenye famillia. Kuzaa nje hasa kwa ndoa za kikristo na kama una uchumi wa kuunga unga inakuwa changamoto sana Hasa kwenye mgawanyo wa mali. Kama una uchumi mzuri basi kila mwanamke mfanye...
Mbaya zaidi kama kakusimbua sana. Hadi akikupa mbo.o hasimami 😂 😂. Unaweza jihisi huna nguvu za kiume kumbe ni stress tu. Afu ukitafakari alivyo kusumbua hadi hamu inaisha
Fr Kitima angekuwa ameoa nyumba ingekuwa ya mipasho tu. Wangekuwa wanajibizana kwa vifungu vya Biblia. Nongwa haziishi. Fr kitima hawezi kuwa mshauri mzuri wa maswala ya utu.
Hajashambulia majirani. Bali kashalbu
Hajashambulia majirani. Yeye kashambulia base Za ulinzi za Marekani. Wao kuruhusu Marakeni aweke base Kwenye Nchi zao ili kumshughulikia Iran huo nao ni uchokozi na uchochezi. So kwangu mimi wamestahili
Weka UTT AMIS mfuko wa Liquid fund kama kweli unayo hiyo million 500, ambapo utapata faida ya 1% kila mwezi sawa na million 5 kila mwezi na kwa mwaka utapata million 60. Hapa utakuwa huna haja ya kufanya kazi utakuwa naamka asubuhi ufanye mazoezi tu. Lakini hii million 5 unaweza kufanya vitu...
Katika maisha yangu yote nimekuwa naona maaskofu wanaoheshimika. Ila nimekuja kugundua kumbe hata maaskofu huwa wapo wa hovyo. Mtu mzima kuendeleza ligi ni ukubwa ujinga. Kuna ligi nyingine wakati mwingine ni vema ukaacha kwasababu hazikusaidii. Askofu mzima kujibizana na wavaa vijora Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.