Mbaya zaidi kama kakusimbua sana. Hadi akikupa mbo.o hasimami 😂 😂. Unaweza jihisi huna nguvu za kiume kumbe ni stress tu. Afu ukitafakari alivyo kusumbua hadi hamu inaisha
Fr Kitima angekuwa ameoa nyumba ingekuwa ya mipasho tu. Wangekuwa wanajibizana kwa vifungu vya Biblia. Nongwa haziishi. Fr kitima hawezi kuwa mshauri mzuri wa maswala ya utu.
Hajashambulia majirani. Bali kashalbu
Hajashambulia majirani. Yeye kashambulia base Za ulinzi za Marekani. Wao kuruhusu Marakeni aweke base Kwenye Nchi zao ili kumshughulikia Iran huo nao ni uchokozi na uchochezi. So kwangu mimi wamestahili
Weka UTT AMIS mfuko wa Liquid fund kama kweli unayo hiyo million 500, ambapo utapata faida ya 1% kila mwezi sawa na million 5 kila mwezi na kwa mwaka utapata million 60. Hapa utakuwa huna haja ya kufanya kazi utakuwa naamka asubuhi ufanye mazoezi tu. Lakini hii million 5 unaweza kufanya vitu...
Katika maisha yangu yote nimekuwa naona maaskofu wanaoheshimika. Ila nimekuja kugundua kumbe hata maaskofu huwa wapo wa hovyo. Mtu mzima kuendeleza ligi ni ukubwa ujinga. Kuna ligi nyingine wakati mwingine ni vema ukaacha kwasababu hazikusaidii. Askofu mzima kujibizana na wavaa vijora Ni...
Hakuna mtu anayetetea serikali. Lakini si afya kuendelea kuchinganisha watu badala ya kuwaunganisha. Huu ni uchochezi wa hali ya juu sana. Hawa viongozi wana PhD. Sasa PhD zao zitumike kuunganisha watu kwa kuleta maridhiano siyo kutukana mimbalini. Wala kuharibu amani ya nchi. Hizo haki...
Askofu kiazi sana huyu. Mimi nimeacha kwenda kanisani, sioni umuhimu kwenda kusikiliza mawazo ya watu yanayo bomoa umoja na mshikamano. Ni heri nibaki nyumbani nimejifungia kuliko kwenda kanisani nikaongeza hasira. Nitakuwa namkosea Mungu sana. Kanisa katoliki sijalizoea hivi. Si kanisa la...
Kujibizana na muumini na kuanza kumkana nako ni kukosa uvumilivu. Ni kwasababu hana dola. Unaweza ona hasira zake, maneno ya kifedhuli mbele ya Yesu ekaristi unatamka matusi. Huyu angekuwa na dola angeua kila mtu. Siyo mtu mzuri kabisa.
Huyu askofu naye tushamchoka. Kazi yake kuchochea vurugu tu wakati wote. Sasa waumini hamtaki walalamike. Kwahiyo Nyie ndo mnahaki ya kusema hata ambavyo sisi hatutaki. Huu nao ni udikteta. Mimi naamini barua inajibiwa kwa barua. Kama kweli nyie ni viongozi wajibuni kwa barua. By the way unajibu...
Nimeishi naye jamaa mlokole. Nikiwa std 7 yeye alikuwa form 1. Hawa jamaa wanafiki sana. Na wachoyo. Tunalala kitanda kimoja ila anapika chakula anakula pekee yake. Ni heri uishi na mlevi atakuletea Hata Nyama choma. Pia nimeishi nao nikiwa chuo kikuu. Hawa jamaa wachoyo, wabaguzi. Yaani...
Aise hii ni hatari sana kwa umoja wa kitaifa. Mhe Rais afanye kitu. Hata kwa kutuzuga. Nimeota ndoto. Watu wakiandamana hali itakuwa mbaya sana. Zaidi ya hii iliyo tokea tarehe 29. Serikali, viongozi wa dini, mashirika ya kiraia na haki za binadamu. Nawaomba sana mkae chini mjadiliane otherwise...
Walimpinga kwa kila kitu. Swala la makinikia kulinda rasilimali za taifa kama madini, nk. Chadema walutetea wezi, mafisadi na wenye vyeti feki. Chadema sijui wao wanapigania nini duniani hapa. Zaidi sasa wamezalisha chuki ndani ya nchi. Na niwaambie tu hii nchi haitakaa itawalike tena...
https://www.threads.com/@osiemodaktari/post/DP1x69fiKcY?xmt=AQF0rJ1qGRimcGIXW0kP6ecuX_gHAXVvdW_-1-ggDL5o4g&source_surface=35&slof=1
Kwa diagnosis hizi India 🇮🇳 huyu mgonjwa asingetoboa. Anyways sijui watu wanakupendea nini India but ni wa kawaida sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.