Recent content by Bangalow

  1. B

    JamiiForums Tanzania Ningelikuwa mimi ningelijiuzulu kuliko kubeba dhambi isiyosameheka Mbinguni na Duniani

    Ukiwa na akili timamu huna hajja ya kusubiri ripoti, maana Jana jaji chande alishasema kuhusu sura na mwelekeo wa ripoti tarajiwa.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Buraq Mnyama wa ajabu wa Kislamu

    Masaaf ya mtume Tena dini ni upumbavu.
  3. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA imeharibu maadili ya Taifa letu. Siasa zao zimejikita kwenye matusi, upotoshaji, vurugu na ufitinishaji; kama Taifa tuseme NO

    Cha ajabu umeshindwa kutaja hata tusi moja tu Toka cdm lilichangia kuharibu maadili ya watz hahaha
  4. B

    JamiiForums Tanzania ICC imeishia wapi?

    Wanamiliki jeshi lolote? Au wana vikundi vya kigaidi? Intelijensia yenu haikujua mapema mkashindwa kuwadhibiti?
  5. B

    JamiiForums Tanzania ICC imeishia wapi?

    Nani alipanga mapinduzi? Ni huyu lisu anayetuhumiwa uhaini? Au TEC kupitia kitima ambao wanaogopwa kupewa kesi ya uhaini?
  6. B

    JamiiForums Tanzania Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    Huyo ni follower wa trump huko truth so anataarifa kutoka mtandao wa trump.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Tukubali Tume ya Chande Inapoteza Muda , hivi inachunguza nini kisichojulikana?

    Chande Jana kasema kazi ya tume ni kukusanya ushahidi wa chanzo na madhara ya vurugu zilizojitokeza; SIO KUTOA USHAHIDI NANI KWENYE KOSA. Tujiandae kisaikolojia
  8. B

    JamiiForums Tanzania Hivi yule aliyeandika 'mwanamke atazaa kwa uchungu' katika bibilia hakujua kuwa Kuna baadhi ya wanawake hawana kizazi?

    Yesu aliponya viwete na vipofu, hao wote ni viumbe wa mwenyewe Mungu. Mapungufu ktk uumbaji ni sehemu ya ukuu wa Mungu. Pia maandiko hayo hayo yanasema mwanaume utakula kwa jasho, lkn Kuna marioo wengi tuu wanalelewa.
  9. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwanini mnawatetea sana Chadema, kwenye ishu ya Oktoba 29?

    Dogo kazi za msingi za tume zilipaswa kuwa zifuatazo. 1. Kutuambia kwa nn watu waliandanana? 2. Kutuambia kama approach iliyotumiwa na serikali kukabuliana na maandamano ilikuwa sahihi? 3. Kutuambia madhara halisi ya maandamano hayo kwa maana ya uharibifu miundombinu, vifo au majeruhi Tena kwa...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania moja ya nchi zenye utajiri mkubwa wa gesi barani Afrika

    Hiyo gas si ipo songosongo na mtwara? Imeshauzwa yote na hela imepeperuka ndio mana magu alikomaa na umeme wa maji. Hicho ndicho wanachokisifia kina Lukas.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Alphonce Muyinga: Heche ni debe tupu, tutampa elimu tukiona anapotosha umma kwa makusudi

    Naona kama anaweweseka na heche mpka usingizini, no wonder anapo mrara mkewe anamtaja heche tuu, huo muktadha ni wahao kina baba lishe!! Heche anahusikaje hapo?
  12. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mfanyakazi mwenye uzoefu wa miaka 3 kama Finance Supervisor

    Kama huyo employee unaemtafuta wewe ndio utakuwa supervisor wake, jiandae kisaijolijia atakunyang'anya hiyo nafasi. Na kama wewe ndio mmiliki wa hiyo ofisi jiandae kuibiwa sana
  13. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Mmeshuhudia siku tatu zile. Hakukuwa na harusi, kitchen party wala mikusanyiko kwenye mabaa. Zilikuwa siku tatu nzito

    I don't support this, but it can be the perfect timing anyway.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kikomo cha mtu kuwa yatima ni miaka mingapi?

    Na ukishindwa kujitegemea?
Back
Top Bottom