Recent content by Bangalow

  1. B

    Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Wee jamaa unaonekana una nyodo sana 😂😂 ila nimepata meseji vizuri sana. Sina swali
  2. B

    Ratiba ya msiba wa William Lukuvi. Mazishi kuongozwa na Rais Samia

    Iyo ratiba sijajua ikoje, nimeanzia moja kwa moja kwenye KOMENTI. Yaani watu mnafurahia misiba?
  3. B

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Kwahiyo nyie hapo isaraelini mmerelax mnakula tuu kitimoto. Vimondo vya Iran vinapita kule
  4. B

    Azam Media ajirini, CEO kutoka nje ya nchi

    Utakuwa umefukuzwa kazi Azam wewe sio Bure
  5. B

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Habari sahihi kuhusu Hormuz utazipata kutoka kwa wairani wenyewe. Full stop. Hao wengine ni propaganda tuu. Irani kwa Sasa yupo bize kujipanga kudili na majeshi ya ardhini ambayo US amayapeleka kupigana ndani ya Irani
  6. B

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Tatizo lilianza ulipoanza tu kulomba
  7. B

    Ni kwanini wakati huu serikali ya Iran imelazimika kupandisha mishahara ghafla kwa asilimia 60% ?

    Swali lako ungewauliza wairani wenyewe. Ila kwa viongozi wanaojitambua kuongeza ruzuku kwenye vipato vya wananchi wakati wa mazingira magumu ni kawaida. Ila pia inawezeka na hongo ya wazayuni kwa wairani Ili wajifanye wanaomba poo kwa izrael.
  8. B

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Sio tume, ICC, EU Wala Washington itakayowapa watz wengi wanachomani kuhusiana na mauaji ya 29 okt. Mungu anaweza lakini huwa anachelewa sana wakati mungine. Hapa dawa ni kuishawishi Iran walau itufikirie kwa target tatu kwenye majumba ya blue. Kombora moja lije dar, lingine Dom la mwisho kidhi.
  9. B

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Huyu magesa SI ndo alikuwa anajiita Kosovo? Kama ni yeye naikumbuka ila gari ya bighorn., alikuwa anaiiubali sana kuliko gari zake zote.
  10. B

    Inawezekana Kuna Mgawanyiko wa Madaraka Iran baada ya kufanyika mazungumzo kati ya Marekani na wawakilishi wa siri wa Iran

    Unasemaje mazungumzo ya Siri na ilhali Trump ameshaweka wazi. Halafu hao wasiotaka vita ni viongozi wa kisiasa lkn wanataka vita ndio wenye jeshi, vifaa na intelijensia yote, unayegemea nini
  11. B

    Swali na ANGALIZO: Je ni mkosoaji huru au ni PROJECT inayopelekwa CHADEMA kimkakati?

    Akili za fisiem ni kutengeneza sinema za wakatoliki wavaa vijora, kuteka na kuuwa vyombo vya habari au kununua wapinzani. They can't move beyond that.
  12. B

    Interview za kiwaki sana

    Maswali ya kowaki kwenye interview. 1. What is your weakness? 2. Tell me about a time you failed. 3. Where do you see yourself in 5 yrs 4. Why should we hire you
  13. B

    Interview za kiwaki sana

    No sio Mimi. Ila like two weeks ago Kuna madogo nilikuwa nawainterview kwenye program moja. Ni fresh gradutes wa degree ya kwanza. Asee Kuna mabinti wawili nikawaambia tu waongee kiswahili. Maana ilikuwa too much lugha iliwatetemesha kinoma. Kwahiyo nakuelewa mdogo wangu
  14. B

    Interview za kiwaki sana

    Hahaaa Mimi sio huyo jamaa. Mm ni fala mmoja tu wa hovyo Niko huku ndichi.
Back
Top Bottom