Habari sahihi kuhusu Hormuz utazipata kutoka kwa wairani wenyewe. Full stop. Hao wengine ni propaganda tuu. Irani kwa Sasa yupo bize kujipanga kudili na majeshi ya ardhini ambayo US amayapeleka kupigana ndani ya Irani
Swali lako ungewauliza wairani wenyewe. Ila kwa viongozi wanaojitambua kuongeza ruzuku kwenye vipato vya wananchi wakati wa mazingira magumu ni kawaida. Ila pia inawezeka na hongo ya wazayuni kwa wairani Ili wajifanye wanaomba poo kwa izrael.
Sio tume, ICC, EU Wala Washington itakayowapa watz wengi wanachomani kuhusiana na mauaji ya 29 okt. Mungu anaweza lakini huwa anachelewa sana wakati mungine. Hapa dawa ni kuishawishi Iran walau itufikirie kwa target tatu kwenye majumba ya blue. Kombora moja lije dar, lingine Dom la mwisho kidhi.
Unasemaje mazungumzo ya Siri na ilhali Trump ameshaweka wazi. Halafu hao wasiotaka vita ni viongozi wa kisiasa lkn wanataka vita ndio wenye jeshi, vifaa na intelijensia yote, unayegemea nini
Maswali ya kowaki kwenye interview.
1. What is your weakness?
2. Tell me about a time you failed.
3. Where do you see yourself in 5 yrs
4. Why should we hire you
No sio Mimi. Ila like two weeks ago Kuna madogo nilikuwa nawainterview kwenye program moja. Ni fresh gradutes wa degree ya kwanza. Asee Kuna mabinti wawili nikawaambia tu waongee kiswahili. Maana ilikuwa too much lugha iliwatetemesha kinoma. Kwahiyo nakuelewa mdogo wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.