Hivi nyie watu wengine ni mafala ee?!! Au chuki kwa Samia na mapenzi kwa lissu yanawafanya muwe vipofu?!!! Hivi maangamizi Yale ya vituo vya polisi na polisi wenyewe, Mali za watu, taasisi za serikali, kujeruhi/kuua watu wasiokuwa wafuasi wa chama flani, kuharibu Mali za watu wasiokuwa wafuasi wa chama flani yangezuiwa vp?!! Wasn't that an act of war?!!!! Baada ya masaa saba, nani angethubutu kumkamata yeyote maana nchi ingekuwa yote inawaka moto.
Au, type mbinu mkuu za kukabiliana na Hali kama ile yenye kuleta matokeo unayoyasema.