Ndugu nmekuelewa unacho tafut. Embu weka maelezo yako katika uwiano mzuri upate kueleweka zaidina CPA kazini miaka 3yrs experience ,job title finance supervisor dsm -send your CV TO me whatsupp 0657392242,0693392242
Kuandika nalo limekuwa janga hususan vijana. Kuna watu ni smart ila mpe peni na karatasi....Mkuu huu mwandiko kuna kazi kweli hapa.
Acha kumkoromea mwekezaji!! Hii sura kama vile nimewahi kuiona kule india kaskazini, kule umtayya pradesh kama sikoseiHujaeleweka kama unaomba kazi au unatoa kazi..
🤣🤣🤣... Huko hukoAcha kumkoromea mwekezaji!! Hii sura kama vile nimewahi kuiona kule india kaskazini, kule umtayya pradesh kama sikosei
Keyboard warriorsKuandika nalo limekuwa janga hususan vijana. Kuna watu ni smart ila mpe peni na karatasi....
Ila jamaa anakuambia ukweli ujueacha siasa wewe ,sikujui lakini acha siasa