Recent content by Bandeba

  1. B

    Duka Linauzwa

    VP mkuu umeshapata mteja km bado nichek 0755710560
  2. B

    Gari inahitajika

    Kuna ndugu yetu anauza mkuu una sh ngapi
  3. B

    Mitumba

    Upo Marekani au Usariver Arusha. OK bei zinatofautiana kulingana na grade ya nguo na viatu
  4. B

    Kwa anaehitaji Mbuzi wa kuchinja kwa bei ya jumla na rejareja

    Salaam wakuu Najihusisha na biashara ya kuuza Mbuzi wa kuchinja,yaani ndafu wazuri kwa bei nafuu kwa jumla na rejareja. Mbuzi nawatoaga vijijini na kuwanenepesha, Tupo Arusha kwa anahitaji tuwasiliane kupitia 0755710560
  5. B

    Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

    Waneshindwa.... Hawatuwezi
  6. B

    Magufuli: Mafisadi sugu ndani ya CCM wamenikimbia

    Sawa kabisa mkuu ccm inawachukulia watz kama watoto ambao hawajui mbivu na mbichi lkn hawjui watu wameshapevuka kiakili wanaganya analysis
  7. B

    Kifo cha upinzani baada ya Uchaguzi

    Ni kweli kwamba lowasa aliitwa fisadi na yeye alikaa kimya kulinda heshima ya serekali na chama chake na pia alikubali kuwajibika kwa na nafasi yake na pia elewa kuna ukweli ambao ulikuwa hujajulikana hasa lowasa kakubali kutoa ukweli wote nasi tumemuelewa sasa tunamjua mwizi wa Richmond escrow...
  8. B

    Kifo cha upinzani baada ya Uchaguzi

    Ndiyo huna chama lkn una unanarrow mind na upo shallow sana je ufisadi wa lowasa unaujua au kwasababu alishutumiwa kuwa fisadi kwahiyo ni fisadi yeye mwenyewe ameshaeleza jinsi mambo yalivyokuwa, tena akasema mwenye ushaidi aende mahakamani so wew na wenzio munao mwita fisadi nendeni mahakani...
  9. B

    Pigo la kwanza: Arusha mjini na Hai kurudi CCM!!

    kweli mkuu yaani hawa magamba wanafanya tathimini waki sijui chooni ndo hawa wanamdanganya Jk anaropoka watashinda kumbe ndo ccm ilishakufa siku nyingi hasa huku arusha yaani hata koko wanaimba people's tuu
  10. B

    GE2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

    Nipo hapa uwanjani kimandulu kwenye mkutano wa ukawa yaan ni mafuriko anayesema watu ni wachache ni mwongo hajifka hapa uwanjani yaani ni people's tuuu! Hapa
  11. B

    Siku naziona kama zinajirudia, How can you explain this?

    mkuu umejibu vizuri sana kwa mtazamo wa kiroho,ni kweli bidadamu ana sura ya roho,nafsi na mwili nafsi inafika sehemu yoyote lakn mwili unalimit,kitendo cha mwili kufika sehemu ambayo nafsi ishawahi kufka unajikuta inarecall km umeshawahi kufka
  12. B

    Walichofanya CHADEMA kwa ZITTO sasa kinajidhihirisha!

    Inaonekana mtindio wa ubongo jadili hoja na Sio kuonyesha ujinga wako
  13. B

    Diwani wa Kata ya Kimandolu, Arusha ni mzigo

    Mkuu Mungi umemfuma huyu gamba namfaham vizuri ni mkazi wa kijenge juu na anabifu na CHADEMA muda mrefu sana lkn wamekuwa wakishindwa
  14. B

    Paul Makonda anafaa kuigwa !

    Ninani anatakiwa akusifu wewe mwenyewe ujisifu hapa jf au wananchi uliowahudumia hata hivyo umefanya nini maneno si vitendo ni kawaida kwa Chama chenu kuongea bila utetekelezaji Umepewa ukuu wa wilaya kwa kazi nzuri ya kumtukana Edward lowasa na kumpiga mzee Warioba,walio kupa ukuu wa wilaya...
Back
Top Bottom