falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Group la whatsapp la JUKWAA LA SIASA niPm nikuunganushe
CCM ikishinda uchaguzi mwaka huu,nitatembea uchi kwa muda wa wiki moja
Ni mhuni tu wewe. Watu watakupuuza mkuu. Hebu tuelezee na kifo cha CCM baada ya tar.25 October???
Hata CCM imepata haueni na silaha za kutosha kupigana na ufisadi, kwani mafisadi wakubwa wamekimbilia CDM. Najiuliza, CDM itapigania nini, kwani ni chama ambacho kilijizoelea umaarufu kupitia kwa Dr. Slaa kwa kuwa namba moja mpinga ufisadi aliyeweka maisha yake hatarini kulikomboa taifa toka kinywani mwa mafisadi. Tundu Lisu na Msigwa watapambana na mafisadi gani wakati CDM ndio kimbilio la mafisadi?
Kwanini hampedi kuambiwa ukweli? Mleta mada kaeleza vizuri sana, Pili nawashauri watu jaribuni kuangalia pande mbili ambazo ni win and loose
Hata CCM imepata haueni na silaha za kutosha kupigana na ufisadi, kwani mafisadi wakubwa wamekimbilia CDM. Najiuliza, CDM itapigania nini, kwani ni chama ambacho kilijizoelea umaarufu kupitia kwa Dr. Slaa kwa kuwa namba moja mpinga ufisadi aliyeweka maisha yake hatarini kulikomboa taifa toka kinywani mwa mafisadi. Tundu Lisu na Msigwa watapambana na mafisadi gani wakati CDM ndio kimbilio la mafisadi?
Sasa mbona unaongea double standards wewe mwenyewe? Huo ushauri unaonipa ndio nimempa mleta uzi kuwa kushindwa sio UKAWA tu; aangalie hata upande wa CCM kuwa wakishindwa nawo km UKAWA wanavyoweza kushindwa au kushinda itakuaje?
Vita dhidi ya ufisadi ni vita vya kimfumo siyo taswira za watu
Nampongeza sana jamaa na hakika anajitambua
unahisi ccm itashindwa
Ndiyo huna chama lkn una unanarrow mind na upo shallow sana je ufisadi wa lowasa unaujua au kwasababu alishutumiwa kuwa fisadi kwahiyo ni fisadi yeye mwenyewe ameshaeleza jinsi mambo yalivyokuwa, tena akasema mwenye ushaidi aende mahakamani so wew na wenzio munao mwita fisadi nendeni mahakani sio kutoa sio kupost thread na wewe uonekane umepost
Nampongeza sana jamaa na hakika anajitambua
Mkuu kwanza hilo dude( ccm) litoke njiani. Mambo mengine yatajiseti
Napenda kujitambulisha kuwa mimi sio mwananchama wa chama chochote kile cha siasa kwa sababu sijaona chama ambacho kina yale ambayo mi nataka.
Tuje kwa point, Vyama vinavyounda umoja wa " Ukawa" vikiwa na Mgombea wao katika Ngazi ya Uraisi "EL" vimeamua kutake risk kwa kumsimamisha yule ambae walimpaka matope wao awe mgombe wao wa Raisi... Uzuri wa Uamuzi wa Ukawa ni kwamba wakishinda its a "Win Win" lakini wakishindwa inakuwa Total annihilation.
Mpaka sasa ni ukweli uliokuwa wazi kabisa kuwa ukawa wana ushawishi katika baadhi ya Majiji na sehemu za mjini, sehemu zilizobakia CCM ni dominant Figure kitu ambacho kitaifanya CCM ishinde hata bila goli la mkono .
Baada ya Ukawa kushindwa katika Ngazi ya Urais, itawawia vigumu sana kuwa na nguvu kubwa waliyokuwa nayo, sote tukijua Nguvu kubwa na ushawishi wa Chadema ilijengwa kutokana na agenda yao kupinga Ufisadi, ila kutokana na Moja ya watuhumiwa maarufu zaidi ya Ufisadi kujiunga nao hawatakuwa na jipya kuhusiana na Ufisadi wao Pamoja na vyama vingine vya UKAWA...
Upinzani utakuja kurudi kwenye nguvu yake kama tu vile vyama ambavyo havikuwa na Nguvu hivi sasa vitaonyesha kuwa vinaweza kuleta mabadiliko ya ukweli ambayo yataweza kuitikisa CCM.