Recent content by bampami

  1. bampami

    Vp? Ungemchagua nani hapa?

    Ujinga ujinga tu
  2. bampami

    Hao kwenye picha wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha

    Kupata kichekesho andika MJINGA MIMI😂
  3. bampami

    Dini ya Mashahidi wa Yehova ndiyo dini pekee iliyofanikiwa kutengeneza watu bora katika jamii

    Usisahau hawa waumini wa Full gospel bible fellowship, wamefundishwa kutenda mema sana, ni watu wenye maadili sana
  4. bampami

    Je, BoT wamepunguza kutuma na kutoa hela kwenye simu kwa laini isiyo ya uwakala kutoka 20M mpaka 5M kwa siku?

    Habarini? Hivi majuzi nilipigiwa simu na watoa huduma kwa wateja kwamba, kutokana na Maagizo waliyopewa na BOT. Wamelazimika kupunguza kiwango changu cha matumizi yaani kutuma na kutoa hela kwenye simu kwa laini isiyo ya uwakala kutoka 20M mpaka 5M kwa siku. Nikastaajabu sana kwanini...
  5. bampami

    BoT waruhusuni/wapeni muongozo Benki kuongeza kiwango cha kutoa pesa ATM

    Huku mpesa nako wameshusha toka mtu kuweka hadi 100M sasa ni 10M kutoa mwisho 5M. Yaani ni upuusi tu.Ndo maana watu wanaweka hela majumbani. Badala waweke benki na kwenye simu.
  6. bampami

    PreGE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

    Sasa ndujgu yangu kama kwa akili hizi na wewe unajiona umejibu basi una shida kubwa Tanzania; Kama, kuruhusu maandamano ya amani, ndo kutazuia umeme kukatika basi SAWAA Kumtoa Mbowe jela, kumuita ikulu na kutosikia tena wasiojulikama ndo kunaleta uwajibikaji makazini na kuzuia wizi wa mali ya...
  7. bampami

    Wenye watoto wadogo

    wa kwangu mtoto wa pili ni mweupe halafu ni wa kiume, anapenda sana watu weusi yaani ukija tu na rangi yako ya udongo yeye ashakukubali yaani
  8. bampami

    Taa hii chumbani huwa na kazi gani?

    @Moderator Mimi nashindwa kuaccess picha na video zinazopostiwa. Nakosa haki yangu ya msingi kama mdau wa jamii forum. Tafadhari naomba msaada.
  9. bampami

    Je, tutamkumbuka Rais Samia kwa lipi kubwa alilofanya?

    Sioni alichofanya kwa kweli
  10. bampami

    Serikali itoke mbele iseme imefilisika

    Baba unaikimbiaje familia kisa huna hela??
  11. bampami

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Wakuu nina mpango wa kununua "SUBARU FORESTER 2.0XS'', Hela ipo shida nataka ya mileage ndogo walau, Imani yangu inanituma kuwa yeneye mileage ndogo itadumu zaidi. JE, NI KWELI?? Lakini pia, Ni website gani nzuri na yenye bei nafuu kwa kuagizia magari? Nitaomba msaa wenu wa ushauri. AHSANTENI
Back
Top Bottom