Kwa maoni yangu mwalimu ana kitu anafundisha kngawa bado mapema kusema ila naona kuna kitu kla tatzo lipo kwa wachezaji beki na viungo wahawelewani kabisa na hawajui wafanye nni Lavia ni mtu mzuri ila Enzo na caicedo ni wazito sana
Du we mshakaji kinyesi sana una roho mbaya sana ssa unapinga hapa JF nenda barabarani kapinge ndio tutakuona kweli ww unauchingu na taifa hili je unapendekeza apewe nani MBOWE AU WW JITOKEZE WEKA JINA LAKO NA NAMBA YAKO MUOGA KWELI
Kama sikosei mkuuu ulikwa una akili yako vizuri tu mwanzo ila sijui kimekukuta nni umegeuka praise TEAM
UNASIFIKA HATA MTU AKISEMA UPUUZ AU UMEKULA TEUZ KWA UZEMBE
We nae kweli ni kipofu umeandika nni sda na umefurahia nni ssa watu wanakula kimya kimya na mikataba wanasaini kimya kimya ww unafurahi lofa kweli mtanzani
Nataka kusema mapema kabisaaa hata kabla hatujaanza LIGI Chelsea ndio timu mbovu msimuuu kuwahi kutokea na inawachezaji wa hovyo sana na mwalimu nae sina imani nae maana mtu kma Badiashile anatakiwa kuuzwa hata 12 tu na kipa sanchez na shati la shule ya upili
Kweli hamna timu kwanza kabisa mwalimu kma ndio anafundisha hiv mtu wa hovyo mpira wake anacheza taratibu sana na halafu BADIASHILE na Disasi wanabaki halafu chaloba unamkataaaa kabisa wazi wazi kuna kitu kinatia shaka beki zote nzito kama nni yaaani hovyo kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.