Kiungo wa klabu ya Tottenham ya Uingereza, Victor Wanyama Jana alikuwa mgeni rasmi katika mchezo wa michuano ya Ndondo Cup uliopigwa jana jioni kwenye uwanja wa Kinesi Sinza.
Kutokana na heshima kubwa ambayo Wanyama aliyoonyesha na nia ya dhati katika kushiriki kuibua vipaji vya soka mtaani...
La ajabu utaliona pale urakapo muuliza mama yako mzaz km aliwai kum cheat baba yako.
Wasichana wa mwendokasi mnatabu sana.
Kati ya mwanaume Mchafu wa tendo na mwanamke mchafu wa tabia yupi ni kituko?
Hakuna malaika msafi kwenye kundi la mizukule lkn kuutukuza uchafu wenu ndio mbele ya...
Mimi sio Mrangi ila nawajua vyema Warangi Kutoka kona zote za Kondoa ,chemba, haubi,Aneth,Pahi,Mnenia,Itundwi ,Mondo ,Simba, Chandama mpk kule Soya n.k
Warangi hatari sana ni wale Weupe wa kondoa Kaskazini na Wa Farkwa wenye mchanganyiko na Wasandawe.
[emoji45] utapigwa ndere mpk usahau...
Watoto wa Kishua ndo mnaomba ushauri wa kijinga humu. Ndege kajileta mwenyewe bandani kwanini usimtafune ? million 70's zingeingia kwangu Leo kesho ningekuwa Ruhaa Mbuyuni na Mang'ola kufanya yangu.
Otherwise uwe hu ujui Muziki. nilitamani sana nikukumbushe enzi za Crew ya Junior Mafia ile crew iliyokuwa ikiongozwa na Rais Notorious B.I.G huku humo ndani kukiwa na wakali kibao km Puff Daddy a.k.a P Diddy, Lil Kim a.k.a Queen B, na Rap Master Lil Sizz.
lkn kwa kuwa umeonesha huujui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.