figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,638
- 62,534
Si unakuja Dodoma enhe? Hii ndio Dom kwa ufupi....
1. Hakuna Bahari Dodoma....sahau kuogelea labda Dom hotel...saint Gaspar
2. Hakuna madada poa wengi...waliopo ni very cheap...by the way sio wazuri!
3.Hakuna club Nyingiii Dodoma...zipo Tatu nzuri. Club maisha..club 7...labda na club 84. Nyingine ni club uchwara!
4.Hakuna utumbo na miguu ya kuku kama dar..wale wapenzi Wa mbio za kuku..huku vinatupwa...hapa ni kuku Wa kienyeji Tu..
5.Hakuna wauza soseji kwenye mabar kama dar..Fursa hiyo changamkia.
6. Dodoma kila mdada Wa mjini ukimuuliza ana kazi gani anakwambia anasoma udom. ukimuuliza course gani, tarajia kushangazwa...wengine watakwambia HGL!
7.Dodoma vyakula baada ya SAA tano usiku hupati...chips mwisho SAA NNE!
8.Dodoma ukienda bar wahudumu hawana haraka na Mara zote hawana chenchi. Mteja ukija na mwanamke uchangamfu Wa wahudumu kwako unapungua!
9.Dodoma ukipaki gari usiwe na wasi hata ukiliacha kesho unalikuta halijadokolewa chochote na unaweza pata msaada bila kutoa hela, watu waungwana ukiwaambia asante ...imeisha hiyo!
10. Dodoma wanaume wengi waaminifu na wakarimu kuliko wadada...lakini ukarimu wao unakishindo kikubwa...watch out!
11. Dodoma hakuna super market za ukweli kama za mlimani city, wala hakuna mall hata moja...kuna mini market uchwara...Fursa hii wenye Pesa zenu!
12.Dodoma mjini unaweza kutembea kwa miguu SAA moja umeimaliza...mji mdogo.
13.Dodoma mjini hakuna kusweti ila unaungua na jua na unakuwa mweusi...mwezi Wa sita mpaka Wa saba kuna baridi, ukiamka asubuhi umepauka kama ulikuwa unachezea mchanga!
14.Dodoma vumbi mwaka mzima kasoro January mpaka April...nunua miwani...dodoma usishangae ukivaa open shoes vumbi likafika kisogoni...
15. Dodoma gari lako halitaishiwa Mafuta ..hakuna pa kwenda parefu labda uamue kwenda kongwa, Mpwapwa, kondoa, au chamwino...hakuna foleni.
16.Dodoma hakuna waosha vioo vya magari bila mapatano...Fursa hii kama unaweza! Pia Dodoma hakuna wauza chenchi kama wale Wa mwenge na ubungo mataa.
17. Dodoma bado hakuna wafanya biashara wengi Wa kutumia mitandao kama wasap, instagram etc. Ukifungua business yako na ukatengeneza accounts zako za kuuza vitu online ndani ya dodoma...utapata sana chapa...customers wengi...wanavyuo wengi...
Chuo cha mipango, udom, saint John's univ, cbe, chuo cha madini, na vingine kibao! Fursa hii.
Kama upo Dom na waijua vizuri dom unaweza ongeza sifa za Dom unazozijua....
1. Hakuna Bahari Dodoma....sahau kuogelea labda Dom hotel...saint Gaspar
2. Hakuna madada poa wengi...waliopo ni very cheap...by the way sio wazuri!
3.Hakuna club Nyingiii Dodoma...zipo Tatu nzuri. Club maisha..club 7...labda na club 84. Nyingine ni club uchwara!
4.Hakuna utumbo na miguu ya kuku kama dar..wale wapenzi Wa mbio za kuku..huku vinatupwa...hapa ni kuku Wa kienyeji Tu..
5.Hakuna wauza soseji kwenye mabar kama dar..Fursa hiyo changamkia.
6. Dodoma kila mdada Wa mjini ukimuuliza ana kazi gani anakwambia anasoma udom. ukimuuliza course gani, tarajia kushangazwa...wengine watakwambia HGL!
7.Dodoma vyakula baada ya SAA tano usiku hupati...chips mwisho SAA NNE!
8.Dodoma ukienda bar wahudumu hawana haraka na Mara zote hawana chenchi. Mteja ukija na mwanamke uchangamfu Wa wahudumu kwako unapungua!
9.Dodoma ukipaki gari usiwe na wasi hata ukiliacha kesho unalikuta halijadokolewa chochote na unaweza pata msaada bila kutoa hela, watu waungwana ukiwaambia asante ...imeisha hiyo!
10. Dodoma wanaume wengi waaminifu na wakarimu kuliko wadada...lakini ukarimu wao unakishindo kikubwa...watch out!
11. Dodoma hakuna super market za ukweli kama za mlimani city, wala hakuna mall hata moja...kuna mini market uchwara...Fursa hii wenye Pesa zenu!
12.Dodoma mjini unaweza kutembea kwa miguu SAA moja umeimaliza...mji mdogo.
13.Dodoma mjini hakuna kusweti ila unaungua na jua na unakuwa mweusi...mwezi Wa sita mpaka Wa saba kuna baridi, ukiamka asubuhi umepauka kama ulikuwa unachezea mchanga!
14.Dodoma vumbi mwaka mzima kasoro January mpaka April...nunua miwani...dodoma usishangae ukivaa open shoes vumbi likafika kisogoni...
15. Dodoma gari lako halitaishiwa Mafuta ..hakuna pa kwenda parefu labda uamue kwenda kongwa, Mpwapwa, kondoa, au chamwino...hakuna foleni.
16.Dodoma hakuna waosha vioo vya magari bila mapatano...Fursa hii kama unaweza! Pia Dodoma hakuna wauza chenchi kama wale Wa mwenge na ubungo mataa.
17. Dodoma bado hakuna wafanya biashara wengi Wa kutumia mitandao kama wasap, instagram etc. Ukifungua business yako na ukatengeneza accounts zako za kuuza vitu online ndani ya dodoma...utapata sana chapa...customers wengi...wanavyuo wengi...
Chuo cha mipango, udom, saint John's univ, cbe, chuo cha madini, na vingine kibao! Fursa hii.
Kama upo Dom na waijua vizuri dom unaweza ongeza sifa za Dom unazozijua....