Nimeondolewa Payroll

Nimeondolewa Payroll

Mkuu hapo juu....kufutwa kazi bila utumishi sio kuwa basi wanakufuta na huonekani tena....Pale utumishi kila kitu kina status yake....alofukdzwa...alokufa....alostaafu...aloacha kazi kwa kibali..nk.....Kwahyo yeye atakuwa ana status inayoonesha kafukuzwa....
Kwa uzoefu wangu aombe kibali kwa chief secretary tu....minimum inachukua mwaka na nusu ila kwa sasa ndo navyo vimesitiahwa
Pole sana hilo tukio lilimtokea dada yangu mwaka

pole sana hilo tukio lilimtokea dada yang na yy alipata nafas ya kuendelea degree mkurugenz akamuomb ruhusa akakataa ikabidi aende kwa lazima sababu alipata mkopo asilimia mia,alipoenda akapokea mshahara miez miwili baada ya hapo akawa hapati mshahara ila wenzake wakawa wanamwambia slpsrr zako zinaoneka hapo ofisini,so baada ya miaka yake kuisha chuo akaenda kuripot kazini akakuta barua ya kufukuzwa kazi kapewa ila ilionekan kulikuwa na mchezo watu wa halmshaur wanakula mshahara wake na barua ya kazi alipewa bila kuwa na sain yoyote.so ili bidi afatilie dar tamisemi,wakamsaidia so wahusika walichukuliwa hatua na yy akapata Ajira upya,na aliambiwa ili aludishiwe mishahara yake kuna process anatakiwa azipate,ningekushauri ufate taratibu zote ili upate haki yako
Ndo hatua gani,coz ameandika barua hadi now no majibu,toka kwaka jna july sasa anataka aanze upya kwa kutumia degree yke je atapenya kwa mfumo huu wa lawson au afanye mbinu ya kuchange birth c
Pole sana hilo tukio lilimtokea dada yangu mwaka

pole sana hilo tukio lilimtokea dada yang na yy alipata nafas ya kuendelea degree mkurugenz akamuomb ruhusa akakataa ikabidi aende kwa lazima sababu alipata mkopo asilimia mia,alipoenda akapokea mshahara miez miwili baada ya hapo akawa hapati mshahara ila wenzake wakawa wanamwambia slpsrr zako zinaoneka hapo ofisini,so baada ya miaka yake kuisha chuo akaenda kuripot kazini akakuta barua ya kufukuzwa kazi kapewa ila ilionekan kulikuwa na mchezo watu wa halmshaur wanakula mshahara wake na barua ya kazi alipewa bila kuwa na sain yoyote.so ili bidi afatilie dar tamisemi,wakamsaidia so wahusika walichukuliwa hatua na yy akapata Ajira upya,na aliambiwa ili aludishiwe mishahara yake kuna process anatakiwa azipate,ningekushauri ufate taratibu zote ili upate haki yako
Pole sana hilo tukio lilimtokea dada yangu mwaka

pole sana hilo tukio lilimtokea dada yang na yy alipata nafas ya kuendelea degree mkurugenz akamuomb ruhusa akakataa ikabidi aende kwa lazima sababu alipata mkopo asilimia mia,alipoenda akapokea mshahara miez miwili baada ya hapo akawa hapati mshahara ila wenzake wakawa wanamwambia slpsrr zako zinaoneka hapo ofisini,so baada ya miaka yake kuisha chuo akaenda kuripot kazini akakuta barua ya kufukuzwa kazi kapewa ila ilionekan kulikuwa na mchezo watu wa halmshaur wanakula mshahara wake na barua ya kazi alipewa bila kuwa na sain yoyote.so ili bidi afatilie dar tamisemi,wakamsaidia so wahusika walichukuliwa hatua na yy akapata Ajira upya,na aliambiwa ili aludishiwe mishahara yake kuna process anatakiwa azipate,ningekushauri ufate taratibu zote ili upate haki yako
Sasa ni process zip hizo,coz aliandika baruawilayani lkn wamesema hd wapeleke mkoani na mkoani iende taifani na kwa kuwa alishajaza form za ajira mpya toka chuo anahisi maybe znaweza tangulia post au
 
Pole sana hilo tukio lilimtokea dada yangu mwaka

pole sana hilo tukio lilimtokea dada yang na yy alipata nafas ya kuendelea degree mkurugenz akamuomb ruhusa akakataa ikabidi aende kwa lazima sababu alipata mkopo asilimia mia,alipoenda akapokea mshahara miez miwili baada ya hapo akawa hapati mshahara ila wenzake wakawa wanamwambia slpsrr zako zinaoneka hapo ofisini,so baada ya miaka yake kuisha chuo akaenda kuripot kazini akakuta barua ya kufukuzwa kazi kapewa ila ilionekan kulikuwa na mchezo watu wa halmshaur wanakula mshahara wake na barua ya kazi alipewa bila kuwa na sain yoyote.so ili bidi afatilie dar tamisemi,wakamsaidia so wahusika walichukuliwa hatua na yy akapata Ajira upya,na aliambiwa ili aludishiwe mishahara yake kuna process anatakiwa azipate,ningekushauri ufate taratibu zote ili upate haki yako
Au aende dar tamisemi au aende huko huko halshaurini kwake
 
Au aende dar tamisemi au aende huko huko halshaurini kwake
ninge mshauri angeenda tamisemi kwanza lbd kule watamsaidia,maan km ni barua haiwez kujibiwa mapema ht dada yang alimbiwa hivyo kuwa akiandika barua hatachelewa anaweza kuja kujibiwa zaid ya miaka,km ameomba ajira mpya its oky ni bora apotezee hiyo mishahara yk kuliko kupotez kazi
 
Mkuu pole sana kwa kufutwa kwenye payroll za serikali, lakini pia inaonekana una jeuri na kiburi, uliendaje kusoma bila kibali cha mwajiri wako? Kaaa na ujiulize kama Ulikuwa sahihi, kaa ukijua kutokuwepo kazini bila ruhusa inatosha kabisa kukufukuzisha kazi kama mtoro, nakushauri rudi kwenye halmashauri yako omba sababu za mshahara wako kusitishwa ila kama walishakupa barua ya kufukuzwa kazi you better find another opportunities maana hii nchi imebadilika sasa kiutendaji
 
Ulifanya uamuzi mzuri ila potezea kuajiriwa tafuta njia nyingine ya kutokea maana hakuna ajira serikalini. Maisha siyo kuajiriwa tu
 
Si
ninge mshauri angeenda tamisemi kwanza lbd kule watamsaidia,maan km ni barua haiwez kujibiwa mapema ht dada yang alimbiwa hivyo kuwa akiandika barua hatachelewa anaweza kuja kujibiwa zaid ya miaka,km ameomba ajira mpya its oky ni bora apotezee hiyo mishahara yk kuliko kupotez kazi
si anaweza akaenda tamisi dar au ndo hadi dodoma,na je inabidi uwe na mtu wakukusaidia au unaenda pale utumishi,msaada please
 
ninge mshauri angeenda tamisemi kwanza lbd kule watamsaidia,maan km ni barua haiwez kujibiwa mapema ht dada yang alimbiwa hivyo kuwa akiandika barua hatachelewa anaweza kuja kujibiwa zaid ya miaka,km ameomba ajira mpya its oky ni bora apotezee hiyo mishahara yk kuliko kupotez kazi
please if you dont mind,give me ur 4n number ni kucall kwa msaada zaidi
, post: 8196425, member: 74181"]Wadau mimi ni mwalimu wa halmashauri moja hapa Tz.nimeajiriwa kama mwalimu wa stashahada.Baadae niliomba kwenda kusoma nikanyimwa ruhusa ila nkaona si busara kupoteza fursa.
Nilipoondoka mkurugenzi kazuia mshahara wangu na nilipohitimu 2012.nikakuta wameshaniondoa kwenye payroll.
Tangu 2012 ninahangaika nirudishwe payroll ila hadi leo kila siku danadana.
Sasa naombeni ushauri maana kuna aliyeniambia kuwa ukishaondolewa payroll unaweza kuanza ajira upya bila tatzo.
Je nianze upya ajira?[/QUOTE]
ninge mshauri angeenda tamisemi kwanza lbd kule watamsaidia,maan km ni barua haiwez kujibiwa mapema ht dada yang alimbiwa hivyo kuwa akiandika barua hatachelewa anaweza kuja kujibiwa zaid ya miaka,km ameomba ajira mpya its oky ni bora apotezee hiyo mishahara yk kuliko kupotez kazi
Naomba your contac
 
Back
Top Bottom