Wanajamvi naombeni msaada mzee wangu anataka achukue mkopo.....salary yake 900k takehome naombeni mchanganuo wa ni anaweza kopeshwa maximum kiasi gan kwa slip hyo hapo. Na kutoka bank ipi...?
Mzee wangu anataka achukue mkopo ....ana salary ya 900k.....naomba wanaojua wanipe mchanganuo wa maximum amout anayoweza kukopeshwa na kwa benki ipi.....ana miaka 7 tu asitaafu kazi.....ushauri naouomba ni kias gani cha juu anaweza pewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.