North Korea sasa inastahili ichapwe

North Korea sasa inastahili ichapwe

jojipoji koromije

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,127
Reaction score
1,635
Kwa kitendo cha kibri cha Rais wa Korea Kaskazini cha kutest hii leo Hydrogen Bomb ambalo lina nguvu kubwa zaidi ya Atomic Bomb anastahili adhabu kali kuliko zote zilizowahi kutolewa Duniani. Trump na jumuiya ya kimataifa wamemvumilia sana bwana mdogo Kim Jong Un lakini sasa kanyea mbeleko.

Enough is enough North Korea Must be punished Severely!!!! No matter what!!! Dunia nzima including Tz tutakuwa hatarini kwa sababu ya mpuuzi Kim!!! Tatizo la kuwapa madaraka makubwa vijana wa umri mdogo kama Kim Jong Un unajidhihirisha wazi;

Bwana Kim kakosa busara na adabu anastahili kuchapwa tu kwa gharama yoyote . Tusubili kauli ya Trump the World Chief of Defensive Forces. Bwana mdogo Kim achapwe hadi chumbani kwake anakolala.
 
Kwa kitendo cha kibri cha Rais wa Korea Kaskazini cha kutest hii leo Hydrogen Bomb ambalo lina nguvu kubwa zaidi ya Atomic Bomb anastahili adhabu kali kuliko zote zilizowahi kutolewa Duniani. Trump na jumuiya ya kimataifa wamemvumilia sana bwana mdogo Kim Jong Un lakini sasa kanyea mbeleko. Enough is enough North Korea Must be punished Severely!!!! No matter what!!! Dunia nzima including Tz tutakuwa hatarini kwa sababu ya mpuuzi Kim!!! Tatizo la kuwapa madaraka makubwa vijana wa umri mdogo kama Kim Jong Un unajidhihirisha wazi; bwana Kim kakosa busara na adabu anastahili kuchapwa tu kwa gharama yoyote . Tusubili kauli ya Trump the World Chief of Defensive Forces. Bwana mdogo Kim achapwe hadi chumbani kwake anakolala; fala sana huyu Kim.

Ni vigezo gani vinatumika kuwapa idhini nchi moja kuwa na nuclear na nyingine kutokuwa na silaha za nuclear?

Kama ni silaha ambazo ni hatari na hazifai kutumiwa kwanini USA ana nuclear warheads zaidi ya 1000?

Acha kiduku atengeneze USA mwenyewe last week katest bomu lake hakuna aliyelalamika.

Kunye anye kuku akinya bata kaharisha.
 
Hata wewe jina hekima kabisa.

Huwezi ukasema Kim Jong- Un, apigwe wakati wewe mwenyewe unalilia USA afanye maamuzi.

USA mwenyewe hajielewi yupo analialia kule Ulaya na Asia akitafuta huruma.

Kwa nini , usijiulize nani anayemkataza USA, Russia , Germany and the likes kuwa na hizo silaha!? Mbona na wao wanazo tena nyingi!??

Kim Jong-Un na NK hawajawahi kuripua hata kijiji cha nchi jirani ila USA kaua millions of people almost across the globe.

Ila vita haitakuwepo, na hata ikitokea Kim Un, ataua watu wengi usifikilie kuwa Japan na South Korea, zitakuwa salama hiyo haipo ni lazima wataumia tena sana.

USA , anawapa Kichwa huku nchi yake iko mbali kidogo.

Waza vizuri Boss.
 
Kwa kitendo cha kibri cha Rais wa Korea Kaskazini cha kutest hii leo Hydrogen Bomb ambalo lina nguvu kubwa zaidi ya Atomic Bomb anastahili adhabu kali kuliko zote zilizowahi kutolewa Duniani. Trump na jumuiya ya kimataifa wamemvumilia sana bwana mdogo Kim Jong Un lakini sasa kanyea mbeleko.

Enough is enough North Korea Must be punished Severely!!!! No matter what!!! Dunia nzima including Tz tutakuwa hatarini kwa sababu ya mpuuzi Kim!!! Tatizo la kuwapa madaraka makubwa vijana wa umri mdogo kama Kim Jong Un unajidhihirisha wazi;

Bwana Kim kakosa busara na adabu anastahili kuchapwa tu kwa gharama yoyote . Tusubili kauli ya Trump the World Chief of Defensive Forces. Bwana mdogo Kim achapwe hadi chumbani kwake anakolala; fala sana huyu Kim.
Naona mtoa mada haupo serious

Yani kabisaa kwa akili zako unataka na Tz iingilie kati mpambano na north Korea??

Ivi unajua wale jamaa wakituma kombora huku third world country wengi hatuna uwezo wa kulizuia

Sisi tuache tuhangaike na Malawi kutuingiza mzozo na north Korea ni kutafuta mengine coz yule Kim hachelewi kututolea mfano ili marekani aone nguvu yakim
 
trump hamuogopi n.korea but anawaogopa allies wa n.korea (russia,china na iran). Yaani hapa wanaviziana tuu wote wanatamani kuingia vitani ila wanasubiri nani alianzishe na kwenye hili n.korea ni kama catalyst tuu wa kuspeed up huu mtifuano.
 
LAZIMA DUNIA IWE NA BALANCE OF POWER.SIRAHA HATARI WABAKI NAZO HAO HAO WACHACHE ILI KUWEPO NA HESHIMA DUNIANI
 
Back
Top Bottom