Unajitetea bure tu ila kubali ukweli huwez kuwaweka kwenye kikosi chako watu ambao hujawachek kila week live zaidi ya hizo recorded chache, youtube au LFCTV. Kuhusu hiyo LFCTV Ndani ya Azam TV hata sasa hivi naifatilia na wanaonyesha "" 60 MINUTES WITH PATRICK BERGER"".
Toa kikosi chako kwa watu...
Habari wapendwa wa jukwaa hili,
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto hii; niko sekondari na washkaji zangu wawili (katika hao wawili mmoja nimesoma naye kweli sekondari lakini mmoja tulisoma naye primary) na tulikuwa tukifundishwa somo la Kiswahili na mwalimu ambaye kiuhalisia alinifundisha somo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.