BAKOI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 1,213
- 2,326
Habari wapendwa wa jukwaa hili,
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto hii; niko sekondari na washkaji zangu wawili (katika hao wawili mmoja nimesoma naye kweli sekondari lakini mmoja tulisoma naye primary) na tulikuwa tukifundishwa somo la Kiswahili na mwalimu ambaye kiuhalisia alinifundisha somo la Historia sekondari.
Katika hii ndoto hao washkaji wawili walikuwa wakigombana darasani, mimi nikiwatazama.
Nini tafsiri ya hii ndoto?
NB: Huwa naota hizi ndoto za kuwa shule mara nyingi.
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto hii; niko sekondari na washkaji zangu wawili (katika hao wawili mmoja nimesoma naye kweli sekondari lakini mmoja tulisoma naye primary) na tulikuwa tukifundishwa somo la Kiswahili na mwalimu ambaye kiuhalisia alinifundisha somo la Historia sekondari.
Katika hii ndoto hao washkaji wawili walikuwa wakigombana darasani, mimi nikiwatazama.
Nini tafsiri ya hii ndoto?
NB: Huwa naota hizi ndoto za kuwa shule mara nyingi.