Kweli bwana wanachosa sana wakija pwani wanataka uanze kuutumia utamaduni wao wa bara mara utasikia watoto wa pwani hawana heshima, mara hili mara lile watuache tunajuana wenyewe
Je unaweza kuthibitisha kuwa kweli shetani aliwapitia?, maana unatengeneza kosa lingine la kumsingizia shetani wakati hukuwa maeneo hayo kabisa siku hiyo. Kuhusu mimba nenda au aende duka la dawa akanunue kipimo cha kupimia mimba kisha apime. Huuzwa bei cheee kabisa ya kishetani
Ilibidi wakati mnaachana mambo matatu kama mliachana mahakamani kwa kupewa talaka. 1/ talaka 2/ mgawanyo wa mali 3/ matunzo ya watoto kama wapo.
Kwa ushauri wa hitaji lako nenda ofisi ya kata kwa afisa maendeleo ya jamii kuhusu lalamiko lako. Ikishirikiana hapo kupata suluhu ndipo utaenda...
😂😂 harafu anasema miaka yote mnayokuwa chuo mnashindwa kuwa na laptop hawa ndio wale wanaopata mkopo na bado wanawadanganya wazazi wao hawapati mkopo wanapewa hela bado na wazazi wao
Naona watoto wa vigogo mmeshaanza fujo sasa. Kutokuwa na laptop kwa hao unaosema ni jambo la kawaida sana na ndio sababu inayowatofautisha hao unaowasema na nyie. Kuwa na simu ya 300,000 ni kuwa atapata mawasiliano kwa kupiga, kupokea na kutuma sms na ataingia kwenye kuperuzi inapotokea kutuma...
Wazee wa zamani wana usemi wao wa KITANDA HAKIZAI HARAMU. Husemi huu huficha mengi na hutunza mambo mengi hata kama ukweli huujua. Hainamaana ya kuwa kwakuwa mmezaa hamuwezi kuachana lkn kwa afya ya malezi na ndoa kama mkeo unaona ana nidhamu na mnaendana fanya kama bahati mbaya tu maisha...
Tuungane kumpongeza malipo ni shilingi ngapi maana nchi ngumu hii? tukubaliane kabisa au alivyoenguliwa ulikaa kimya.... kateuliwa sasa umejidai kutuma post ili kuonesha UNIKUMBUKE MHESHIMIWA???
Anamaanisha utunzaji wa mazingira kuepuka uharibifu wa mazingira wa kelele. Kwani wewe ulimpigia simu huyo mtu wakati mpo nae hapo hapo au ulimpigia ukiwa mbali ukasikia vibration tu hukusikia mlio?
Hilo dili ulilipata kimchongo , kuna muda itabidi uende sawa hata kama faida itakuwa ndogo sana ila inaongeza cv ya kutafuta dili kubwa.
Tafuta tu risiti kwakuwa umeshawaoneshea kutokwenda nao pamoja hawawezi kukupa dili lingine ila kwa sasa wataonesha ulipewa zabuni hukutoa risiti.
Kuna mambo...
Ingekuwa hivyo watumishi wa umma bado hawataweza ili kazi isiharibike wangewachukua wanafunzi wa vyuo wa mwaka wa tatu nadhani ingekuwa ndio vizuri sana
Hii kesi wataihangaikia hangaikia hadi ifike mwishoni tu wa mwisho wa mwaka 2024 basi wakishindwa watatafuta namna kupitia chama kingine wakishinda hawatarudi kugombea kupitia chama cha Chadema. Mkate wa bwana nitaupigania kwa nguvu zangu zote.
Amini.....
Mwalimu wako aliekufundisha hadi hapo ulipofikia najua tu huwezi kusema mbele yake ndiyo maana umetaja kiuwoga woga, pili hukusema kwanini ni janga umetaja taja tu kada bila kutoa sababu ni zipi ili ionekane ni janga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.