kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Nina mpenzi wangu ambaye tumepanga kuoana apo badaye najulikana kwao na yeye anajulikana kwetu. Sasa huyu mpenzi wangu ana mdogo wake ambaye tulikuwa tunazoeana saana, na yeye ndo mtu ambaye nina ukaribu naye saana kuliko dada yake.
Sasa kwa bahati mbaya shetani alitupitia. Tukafanya vya kufanya. Madhara yake ndo haya ambayo yametokea
toka last week, mtoto wakike aliniambia haoni siku zake, na kwa bahati mbaya mwezi umeisha.
Nataka niulize
Kuna miezi ambayo wanawake wanapitaga tu bila kwenda kwenye siku zao? Maana nahisi kuchanganikiwa kinoma sijui nitaweka wapi sura yangu mimi!
Sasa kwa bahati mbaya shetani alitupitia. Tukafanya vya kufanya. Madhara yake ndo haya ambayo yametokea
toka last week, mtoto wakike aliniambia haoni siku zake, na kwa bahati mbaya mwezi umeisha.
Nataka niulize
Kuna miezi ambayo wanawake wanapitaga tu bila kwenda kwenye siku zao? Maana nahisi kuchanganikiwa kinoma sijui nitaweka wapi sura yangu mimi!