GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Uteuzi wa Chalamila umetoa Funzo kubwa sana kwa vijana, Baada ya kutenguliwa Chalamila aliendelea kuwa na heshima ndani ya chama chetu cha CCM.
Chalamila aliendelea kuheshimu mamlaka ya uteuzi na aliendelea kuishi maisha ya kawaida ya kujichanganya na watu.
Vijana lazima mjifunze kuheshimu mamlaka na kuheshimu wazee wa chama.
All the best Mr Chalamala.
Tuungane nae kwenye video hii kumpongeza Mr Chalamila.
Chalamila aliendelea kuheshimu mamlaka ya uteuzi na aliendelea kuishi maisha ya kawaida ya kujichanganya na watu.
Vijana lazima mjifunze kuheshimu mamlaka na kuheshimu wazee wa chama.
All the best Mr Chalamala.
Tuungane nae kwenye video hii kumpongeza Mr Chalamila.