Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Mimi sio mfuasi wala mwanachama wa CHADEMA, Ila kwenye Kushauri nitamshauri. Mkichukua ushauri wangu sawa, mkiukataa sawa pia.
Mbowe amekua mwenyekiti kwa miaka zaidi ya 20. Kwa maana kabla hajawa mwenyekiti alikuwa tayari na maamuzi kuliko mwenyekiti sababu ya undugu alionao kwa muanzilishi wa chama.
Kwa wale msiojua hiki chama ni cha kifamilia japokua wazamiaji wapo na ndio hao wenye kelele Sana. Turudi kwenye point.
Mbowe ameshakaa sana madarakani, na Kama kula ameshakula sana. Hivyo nashauri chama apewe mwingine. muda ni sasa, Hakuna tena kusubiri. Awe lema, awe heche, awe Msigwa wote sawa tu ilimradi mbowe aondoke.
Katika wote hao nashauri Msigwa apewe, ana uthubutu, umakini na busara kuliko wengine. Msigwa ataifikisha mbali CHADEMA
Mbowe amekua mwenyekiti kwa miaka zaidi ya 20. Kwa maana kabla hajawa mwenyekiti alikuwa tayari na maamuzi kuliko mwenyekiti sababu ya undugu alionao kwa muanzilishi wa chama.
Kwa wale msiojua hiki chama ni cha kifamilia japokua wazamiaji wapo na ndio hao wenye kelele Sana. Turudi kwenye point.
Mbowe ameshakaa sana madarakani, na Kama kula ameshakula sana. Hivyo nashauri chama apewe mwingine. muda ni sasa, Hakuna tena kusubiri. Awe lema, awe heche, awe Msigwa wote sawa tu ilimradi mbowe aondoke.
Katika wote hao nashauri Msigwa apewe, ana uthubutu, umakini na busara kuliko wengine. Msigwa ataifikisha mbali CHADEMA