Kuna mambo mengine ni ya kijinga kabisa wewe chuo kushika namba moja au mbili inakusaidia nini?badala ya kuwaza utakabiriana vp na soko la ajira wewe unawaza eti chuo changu bora kushinda kingine bado mnasoma hamjui kitaa kukoje endeleeni kudanganyana mtakuja kuona mwisho wake kula ugali na...
wewe umesikia na nani?kama kutakuwa na mgomo au unasoma massage za kutunga!wallimu watu safi hatuwez kugoma kwa sababu ya kizembe post lazima zitatoka 2 kila mwalimu atapata nafasi achana na kusikiliza hizo sms wanazotunga kuchafua walimu
tatizo huyu jamaa ana dharau mm na wasiwasi na elimu yake mwenye akili hawezi kupongea ujinga kama huo umeanza vzr baadae unaanza kutufananisha na mshahara wa polisi toa kauli nzuri zenye mashiko wewe mwenyewe huna kazi halafu unaleta nyodo elimika acha ubwege
nashangaa watu wamesahau walipotoka tokea walipokuwa na makamasi wamefundishwa na huyo mwalimu halaf sasa hv kajua kuvaa suti analeta nyodo acheni dharau hao ndio wametufisha hapa mpaka tunajua kusoma comment hayo sio mambo ya kuongelea hasa wasomi weenye akili timamu kichwani.
Kwa kweli nashangaa kuona barabara muhimu hasa kipande cha mlima sekenke singida barabara imechimbika inaonekana Tanroad singida hawakagui kipande hicho magufuli tembelea huone jinsi gani wakandarasi walivyojenga barabara haina viwango hasa pale mlima sekenke
HIVI TANROAD SINGIDA HAMUONI BARABARA MLIMA SENKEKE ILIVYOKUWA MBAYA MASHIMO YAMEJAA BARABARA PALE HAKUNA VIWANGO MAGARI YANAKWAMA KILA SIKU MAGUFULI TEMBELEA HUONE HAO WAKANDARASI WALIVYOJENGA BARABARA KWA KIWANGO CHA CHINI.:decision:
hongera chadema sauti ya wengi saut ya mungu joshua nasari mungu akupe uwezo wa kufanya kazi kwa umakini ili kufanokisha maendeleo ya arumeru mashariki na taiga kwa ujumla mungu ibariki Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.