kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Wameru wamekula CCM, alafu kura wamewapa CDM.
Sioyi amalizie arobaini ya mzee, then akafiche sura yake UK.
Si nasikia Sioyi ni Mungiki,inatakiwa arudi kwao huko atuachie nchi yetu.
Wameru wamekula CCM, alafu kura wamewapa CDM.
Sioyi amalizie arobaini ya mzee, then akafiche sura yake UK.
well.. tangu jana mmeona nikiripoti lolote toka ARumeru? don't doubt it. Kama ulikuwa na mpango wa kwenda kusherehekea you have my permission.
Kilichoniudhi mimi ni kuwa tunaifanya demokrasia kuwa ngumu kweli; hadi damu, polisi, mabomu n.k it is silly.. ingeweza kuwa rahisi kweli kabla watu hawajaenda kulala kila kitu kimemalizika. Inakuwa kana kwamba tunaanza kufanya uchaguzi leo!! That really upset me.
Safi sana BUCHO umeonyesha ukomavu!NIKIWA KAMA MWANA CCM KIPENZI.
hongera chadema, hongera joshua nassari, hongera wana arumeru, hongera ccm kwa kukubali matokeo, hongera sioi kwa kujaribu! Sasa mh. Mbunge mteule, joshua nassari, hudumia wananchi wako wa arumeru mashariki na watanzania wote bila kuweka mbele itikadi za kisiasa. Wapende pia sana wale waliokunyima kura hasa zile kata ambazo ccm imeshinda uwe karibu nao zaidi uwaondoe hofu yao. Demokrasia imeongea wana wa arumeru mashariki wameongea.
BUCHO WA JF
Adimit defeat is not a sportsman...