Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,596
Wenye akili hukubali na kushukuru wanaposahihishwa.Aah we nibwege ni nzi unasumbua watu wenye akili wanaofatilia pindi. Tushajua wenimpumbavu mwenyechuki TULIA
Wapumbavu wakisahihishwa huwa mbogo.
Hii ni kanuni ya msingi kuijua ukitaka kuwa mwenye akili.
Na ni sababu kubwa unaweza kukuta mtu ana Ph.D lakini mpumbavu.
Sent from my Kimulimuli