Recent content by bahati93

  1. bahati93

    JamiiForums Tanzania Falsafa ya Kilimo: Shule ya maisha ndani ya udongo

    ukitaka kujua umuhimu wa subira basi tujifunze kwa mwanzi. mmea wa Mwanzi hukaa miezi nane mpaka tisa kwenye ardhi ukinywa maji na mbolea kabda ya kuchipuka. na pale unapochipuka hukua kwa kasi ya ajabu! hadi cm 90 kwa siku. na hivyo ndivyo maisha yetu ya kiupambanaji yanabidi yawe mipango...
  2. bahati93

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu na Waasia huwa wanatuchukuliaje sisi waafrika.

    mi nadhani tusilaumiwe alaumiwe mhenga mmoja hivi ambaye alimcheka Nuhu alivyomkuta yuko bwiii alafu uchi wa mnyama, hali iliyopelekea Nuhu mtu wa Mungu kutoa bonge la laana "na alaaaniwe Kanaani, atakuwa mtumwa wa wenzake" Mimi ata sijui kaburi la Nuhu lipo wapi niende nikatoe kafara...
  3. bahati93

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Mary J. Blige: Usaliti na Mtego wa Fedha

    mawazo yako ni ya kijinga sana
  4. bahati93

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Mary J. Blige: Usaliti na Mtego wa Fedha

    wasaanii wotee waliopata pesa kwenye huu music LAZIMA wafilisike.. why? kwa sababu music ni kazi ya kishetani .. na shetani ni mwongo hatunzi ahadi zakee.. nyiee Wasanii wote ambao mmeingia mkataba na shetani kwa kujua au kutojuaa jiandaenii... kuna msanii mmoja bongo shetani aliahidi kumfanya...
  5. bahati93

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Mungu yupo na mahali hapa ndio Jehanamu.
  6. bahati93

    JamiiForums Tanzania Wazazi wote piteni hapa (miaka 20 ya maumivu)

    shida watoto wadogo wana emotional intelligence kubwaa mno, kitu ambacho wazazi wengi wana kasumba ya kupuuza wakizani ya kwamba watoto ni kama wajinga au kufikiri watoto hawajitambui... kosa kubwa sana hivi vitoto hata vichanga vina uwezo mkubwa sana watalaam wanakuambia mtoto anazaliwa wakati...
  7. bahati93

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    meeen is so hard not to act reckless
  8. bahati93

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    sio kila aliye baar, moyoni mwake ana furaha.
  9. bahati93

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Irene Gakwa na Nathan Hightman. Unsolved murder mystery.

    mi sijui ila wembamba wa reli, treni inapita
  10. bahati93

    JamiiForums Tanzania Umejua dhumuni lako la kuwepo?

    nimekuelewaa upo sawa mfano kama mama Theresa na wapigania haki,
  11. bahati93

    JamiiForums Tanzania Umejua dhumuni lako la kuwepo?

    Mkuu eleven ni watu wachache sana wanapata bahati ya kujua nini dhumuni lao hapa duniani, wengi wetu tunabaki kama wasindikizaji tuu. kutoka kwa mwana pyschologist Maslow aliweka bayana madaraja ya matamanio ya mwanadamu. hilo tamanio la kujua dhumuni lako ni la mwisho kabisa baada ya kufanikiwa...
  12. bahati93

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara akisema umfuate DM kwenda kujua bei huwa unaenda?

    kwanza kwanini afiche bei.
  13. bahati93

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

    aweke na night vision niende kununua.
  14. bahati93

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    guys, guys ... nadhani nimetenda kosa/ dhambi/ kujitia nuksi pasipo kusudia .... ivi ukichanganya mkojo wa kiume wa moto na wa kike wa moto si ni kosa? Haya mabasi ya mkoani yanabidi yawe na vyoo viwili cha kike na cha kiume... mi nahisi jinsia kuchanganya mikojo ya moto sio jambo zuri . ndo...
  15. bahati93

    JamiiForums Tanzania Hakuna Sehemu Yoyote Ile Duniani Ambako Dola Inachezewa Na Kuyumbishwa na Mtu Akachekewa tu. Ni Lazima Upitishwe Kwenye Tanuri la Moto Hadi Uive Akili

    aise nilifikiri dola karatasi pesa ya mmarekani kumbe Dola mamlaka. lakini wananchi ndio tunalipa nguvu hilo dude
Back
Top Bottom