Mxhina alikuwa sana mbele ya mda, miaka kumi na tano nyuma nilikuwa sielewi logic yao ya kupiga stop makampuni kama google, facebook, nk sasa ndo najua...
huyu beberu USA nguvu zake nyingi zipo kwenye pesa yake,
ya Mungu mengi Ndugu mleta mada huo mwanga wenyewe ukiingia deep kisanyansi kuujua utabaki na bumbuwazi! kwanza ukitaka kuutazama unabadili tabia! pia una sifa za wave na sifa za yabisi! tena Instein anakuambia ukienda kwa speed ya Photon basi utaishi kwenye Past, Present, na Future kwa wakati...
inategemea na angle unayotazama.. kama unatazama kwa kujifurahisha sawa wanaboa.. lakini ukija kwenye real life situation anayeshinda ni Sambo.
na kaa ukijua ngumi nyingi .. hata za mtaani kama zisipoamuliwa mapema huanza wapiganaji wakiwa wamesimama kisha mshindi kupatikana aliyeweza...
Sambo ni habari nyingine, ushahidi upo UFC ambako group la kina Khabib na Islam wanaonyesha uwezo mkubwa sana.... yaaani mpaka mtu mwenye black belt ya judo hawa wazee wa sambo wanasema wanaomba wampime kama kweli ni black belt.. nomer mzeee Islam Mackchef akikukamata ni kama python vile...
Roman Catholic imeanzia kale sana, tofauti na hawa wanaojibagaiza kutoka kanisa la kwanza huku wakiwa hawana ushahidi wowote! zaidi ya kuwa na Biblia kubwa kama kitanda. Anyway tuachane na hayo
hapo juzi Tulifanya sherehe kubwa ya mtakatifu Agatha wa sicily. Huyu Bi dada alikuwa mtu na nusu...
MASKINI ona hila chafu za shetani, sijui atataka kitu gani kutoka kwa Angela. Angela kama unanisikia achana na hiyo tuzo mara moja! warudishie kwani wanatata kukutumia kwa mara ya mwisho mwisho.
kwa ambao hamjui, hii michezo wanafanya sana watu waovu. Wanakupa tunzo kubwa alafu badae wanakuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.