Recent content by bahati93

  1. bahati93

    JamiiForums Tanzania Dunia haieleweki, maisha hayaeleweki

    Udhibitisho wa huu mchezo ni kuwepo kwa coincidence na synchronicity events. Mfano 1. umesafiri safari ya mbali, mji uliofikia unakutana na rafiki yako wa zamani sana wote mnabaki mnashangaa imekuaje! Kilichotokea ni mwenye mchezo kawakutanisha aone reaction yenu au kuna kitu anataka mfanye...
  2. bahati93

    JamiiForums Tanzania Why do we repeat generational cycles, from time to time!

    Hiyo unayosema laana mimi naihusisha moja kwa moja na dhana ya free will " uhuru wa kuamua". Kinachokutesa mkuu ni kudhani kwamba una uwezo wa kuchagua kile unachokipenda! Na umekariri kwamba Mungu alitupa wanadamu uwezo wa kuchagua. ukishakubali kuwa hakuna free will katika huu ulimwengu basi...
  3. bahati93

    JamiiForums Tanzania Wanazi juu ya Russia na Wayahudi

    Nawaza tu kwa sauti, msije sema mimi mnazi ila kwa yanayoendelea kipindi hiki huko Iran na Ukraine. Naweza sema Manazi wa Germany walikuwa mbele sana ya muda. Haya majitu mawili hapa Duniani Israel na Russia yamekuwa mwiba mkali sana kwa wapenda Haki, uovu wao hadharani umechoma Mioyo ya wengi...
  4. bahati93

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Israel wapigwee tenaa
  5. bahati93

    JamiiForums Tanzania Nani amewahi shika nywele za mzungu au Singasinga?

    Sasa nywele nimeshika mimi wewe kina kuuma kitu gani, njoo uzichezee wewe basi cocastic unamwelewa huyu tozi
  6. bahati93

    JamiiForums Tanzania Nani amewahi shika nywele za mzungu au Singasinga?

    Ivi nyie mnafahamiana mi sipoo huko labda mje mnionyeshe
  7. bahati93

    JamiiForums Tanzania Nani amewahi shika nywele za mzungu au Singasinga?

    Mimi nimewahi shika nywele za Mwarabu jina lake Abduli, ni zamani kidogo kipindi nikiwa kidato cha kwanza. Nilishangaa nilivyozishika kwani zilikuwa ngumu kama manyoya ya kondoo nilitegemea zitakuwa laini. Na wengine mtoe ushahidi wenu. Lakini, kabla sijaongea sana kwanini sisi watu pori tuna...
  8. bahati93

    JamiiForums Tanzania Tawi La IS Pakistan limedai Kuhusika na shambulizi la kujitoa mhanga

    Mwanaume ni kupigania Idea something not visible hakishikiki. Hakika uo ukanda Afghanistan, Pakistan kuna wanaume haswa ukijichanganya ntu pori kutoka Africa ka chali kao ka kiume kanaweza pita na mbichwa wako, haki hiyo kanda ni chafuu. Kwanza Pakistan ina makomando nomar sana lakini vidume...
  9. bahati93

    JamiiForums Tanzania Taharuki dira yageuka dera

    Ndani ya jahazi la kusadikika, Lenye uelekeo usiojulikana Wadada kwa wakaka, wamebaki na bumbuwazi. Nahodha wa chombo hayupo wazi Ile dira iliyokuwa mezani Imeponyoka katoa matanga Kashona dera Abiria kwa mabaharia, Wamebaki wanalia Hichi ndicho kisa cha dira kugeuka dera, kama hujaelewa...
  10. bahati93

    JamiiForums Tanzania Aibu kwa Mhimili wa Mahakama: Kutoka kutumiwa kama kielelezo cha Utetezi wa Haki hadi kutumiwa kama kielelezo cha kuminya Haki

    Lord have mercy, mahakimu wetu ni makunguru, waogaa kupitiliza Wapo katika position ya kuexercise power to the max Lakin wana hofu. Wapo kwenye position itakayowezesha kuwafanya kukumbukwa Daima vizazi vyote vijazo kwa kusimamia haki. Hivi kama hatutaki kuacha alama ya kukumbukwa milele, tupo...
  11. bahati93

    JamiiForums Tanzania Nashauri China itengwe! Ugonjwa wa Chikungunya walipuka nchini humo, visa 7,000 vyaripotiwa. Marekani yatoa onyo

    Kheeee mbona ngunyaa tenaa... kuna uhusiano gani na kwenda chooni
  12. bahati93

    JamiiForums Tanzania Trump atabiriwa kuidondosha chini Marekani.Amri zake zimeshindwa Gaza,Yemen na Iran.Haziwezi kufaulu kwa Putin

    Yule jamaa sio Marekani tuu hata Dunia anaweza itikisaa, yajayo yanatisha
  13. bahati93

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu na akili zako timamu unawezaje kufanya kazi ya malipo laki na hamsini Kwa mwezi

    We fala mbona hio nyingi kuna watu wanajitolea zaidi ya miaka
  14. bahati93

    JamiiForums Tanzania China yazindua ujenzi wa bwawa la umeme la zaidi ya trillion 437,640,000,000,000

    Khaaaa! Hizi sifa sasa
Back
Top Bottom