Recent content by bahati93

  1. bahati93

    JamiiForums Tanzania Kuna martial art bora kuliko Judo?

    yule anapigana stlye zote, ana Gift ya kupigqna God gift
  2. bahati93

    JamiiForums Tanzania Unene, kuwa kibonge ni ishara ya kula hovyo na uvivu

    hivi unakuwaje mnene kama kitambi cha kiboko
  3. bahati93

    JamiiForums Tanzania Dunia inapaswa kumuelewa Mchina anapokuwa anapambana na Marekani na hata kumuunga mkono

    Mxhina alikuwa sana mbele ya mda, miaka kumi na tano nyuma nilikuwa sielewi logic yao ya kupiga stop makampuni kama google, facebook, nk sasa ndo najua... huyu beberu USA nguvu zake nyingi zipo kwenye pesa yake,
  4. bahati93

    JamiiForums Tanzania Hivi Ndivyo Benki Hutumia Pesa Zako

    daah kumbe kweli ndio maana wanajenga majengo yq maana huku watu wenye pesa zao wakiishi majengo mabovu.
  5. bahati93

    JamiiForums Tanzania Anguko la Dr. Emmanuel Nchimbi na Somo la "Trojan Horse": Alikosea wapi Kisiasa?

    Labda kasalitiwa aliozani wapo nae pamoja kumbe siyo. Kajikuta kabaki mwenyewe hamna hata wa kunungunika naye pamoja.
  6. bahati93

    JamiiForums Tanzania Logical contradictions zilizopo kwenye kitabu cha Mwanzo cha Biblia ambazo ni uthibitisho tosha kwamba, Biblia ni hadithi na hekaya za kutungwa tu!

    ya Mungu mengi Ndugu mleta mada huo mwanga wenyewe ukiingia deep kisanyansi kuujua utabaki na bumbuwazi! kwanza ukitaka kuutazama unabadili tabia! pia una sifa za wave na sifa za yabisi! tena Instein anakuambia ukienda kwa speed ya Photon basi utaishi kwenye Past, Present, na Future kwa wakati...
  7. bahati93

    JamiiForums Tanzania Wakati Maarifa ya Kale ya Misri YaliponyamazaCharles Yoram Mwankupili

    bongo tugekuwa mbali sana endapo Mafarao wangekuwa na ujasiri wa kuchunguza chanzo cha mto Nile.
  8. bahati93

    JamiiForums Tanzania Kuna martial art bora kuliko Judo?

    inategemea na angle unayotazama.. kama unatazama kwa kujifurahisha sawa wanaboa.. lakini ukija kwenye real life situation anayeshinda ni Sambo. na kaa ukijua ngumi nyingi .. hata za mtaani kama zisipoamuliwa mapema huanza wapiganaji wakiwa wamesimama kisha mshindi kupatikana aliyeweza...
  9. bahati93

    JamiiForums Tanzania Kuna martial art bora kuliko Judo?

    Sambo ni habari nyingine, ushahidi upo UFC ambako group la kina Khabib na Islam wanaonyesha uwezo mkubwa sana.... yaaani mpaka mtu mwenye black belt ya judo hawa wazee wa sambo wanasema wanaomba wampime kama kweli ni black belt.. nomer mzeee Islam Mackchef akikukamata ni kama python vile...
  10. bahati93

    JamiiForums Tanzania ROMA CATHOLIC INA MPAKA MAFUVU YA MASHAIDI WA KALE NYIE WASABATO MNA NINI?

    haina miujiza wala mafunzo ya kiimani
  11. bahati93

    JamiiForums Tanzania ROMA CATHOLIC INA MPAKA MAFUVU YA MASHAIDI WA KALE NYIE WASABATO MNA NINI?

    sawa lakini sio kila Fuzu litakuwa na miujiza kaa Fuvu la Mt Agatha
  12. bahati93

    JamiiForums Tanzania ROMA CATHOLIC INA MPAKA MAFUVU YA MASHAIDI WA KALE NYIE WASABATO MNA NINI?

    Roman Catholic imeanzia kale sana, tofauti na hawa wanaojibagaiza kutoka kanisa la kwanza huku wakiwa hawana ushahidi wowote! zaidi ya kuwa na Biblia kubwa kama kitanda. Anyway tuachane na hayo hapo juzi Tulifanya sherehe kubwa ya mtakatifu Agatha wa sicily. Huyu Bi dada alikuwa mtu na nusu...
  13. bahati93

    JamiiForums Tanzania Msanii Wa Muziki kutoka Mali Angelique Kidjo atuzwa Nyota Ya Hollywood Walk Of Fame

    MASKINI ona hila chafu za shetani, sijui atataka kitu gani kutoka kwa Angela. Angela kama unanisikia achana na hiyo tuzo mara moja! warudishie kwani wanatata kukutumia kwa mara ya mwisho mwisho. kwa ambao hamjui, hii michezo wanafanya sana watu waovu. Wanakupa tunzo kubwa alafu badae wanakuomba...
  14. bahati93

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kukutana na mzimu, jini au mfumo wowote wa kichawi maishani mwako

    afu hii picha kama kweli vile
  15. bahati93

    JamiiForums Tanzania Elon Musk ataka kujenga jiji mwezini, ndoto yake inawezekana?

    wa kiwango cha kutisha, hayo anasema ili tu share za kampuni yake X zipande
Back
Top Bottom