ukitaka kujua umuhimu wa subira basi tujifunze kwa mwanzi. mmea wa Mwanzi hukaa miezi nane mpaka tisa kwenye ardhi ukinywa maji na mbolea kabda ya kuchipuka. na pale unapochipuka hukua kwa kasi ya ajabu! hadi cm 90 kwa siku.
na hivyo ndivyo maisha yetu ya kiupambanaji yanabidi yawe mipango...
mi nadhani tusilaumiwe alaumiwe mhenga mmoja hivi ambaye alimcheka Nuhu alivyomkuta yuko bwiii alafu uchi wa mnyama, hali iliyopelekea Nuhu mtu wa Mungu kutoa bonge la laana "na alaaaniwe Kanaani, atakuwa mtumwa wa wenzake"
Mimi ata sijui kaburi la Nuhu lipo wapi niende nikatoe kafara...
wasaanii wotee waliopata pesa kwenye huu music LAZIMA wafilisike.. why? kwa sababu music ni kazi ya kishetani .. na shetani ni mwongo hatunzi ahadi zakee.. nyiee Wasanii wote ambao mmeingia mkataba na shetani kwa kujua au kutojuaa jiandaenii...
kuna msanii mmoja bongo shetani aliahidi kumfanya...
shida watoto wadogo wana emotional intelligence kubwaa mno, kitu ambacho wazazi wengi wana kasumba ya kupuuza wakizani ya kwamba watoto ni kama wajinga au kufikiri watoto hawajitambui... kosa kubwa
sana hivi vitoto hata vichanga vina uwezo mkubwa sana
watalaam wanakuambia mtoto anazaliwa wakati...
Mkuu eleven ni watu wachache sana wanapata bahati ya kujua nini dhumuni lao hapa duniani, wengi wetu tunabaki kama wasindikizaji tuu.
kutoka kwa mwana pyschologist Maslow aliweka bayana madaraja ya matamanio ya mwanadamu. hilo tamanio la kujua dhumuni lako ni la mwisho kabisa baada ya kufanikiwa...
guys, guys ... nadhani nimetenda kosa/ dhambi/ kujitia nuksi pasipo kusudia .... ivi ukichanganya mkojo wa kiume wa moto na wa kike wa moto si ni kosa? Haya mabasi ya mkoani yanabidi yawe na vyoo viwili cha kike na cha kiume...
mi nahisi jinsia kuchanganya mikojo ya moto sio jambo zuri . ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.