Recent content by bahati93

  1. bahati93

    Why do we repeat generational cycles, from time to time!

    Hiyo unayosema laana mimi naihusisha moja kwa moja na dhana ya free will " uhuru wa kuamua". Kinachokutesa mkuu ni kudhani kwamba una uwezo wa kuchagua kile unachokipenda! Na umekariri kwamba Mungu alitupa wanadamu uwezo wa kuchagua. ukishakubali kuwa hakuna free will katika huu ulimwengu basi...
  2. bahati93

    Wanazi juu ya Russia na Wayahudi

    Nawaza tu kwa sauti, msije sema mimi mnazi ila kwa yanayoendelea kipindi hiki huko Iran na Ukraine. Naweza sema Manazi wa Germany walikuwa mbele sana ya muda. Haya majitu mawili hapa Duniani Israel na Russia yamekuwa mwiba mkali sana kwa wapenda Haki, uovu wao hadharani umechoma Mioyo ya wengi...
  3. bahati93

    Nani amewahi shika nywele za mzungu au Singasinga?

    Sasa nywele nimeshika mimi wewe kina kuuma kitu gani, njoo uzichezee wewe basi cocastic unamwelewa huyu tozi
  4. bahati93

    Nani amewahi shika nywele za mzungu au Singasinga?

    Ivi nyie mnafahamiana mi sipoo huko labda mje mnionyeshe
  5. bahati93

    Nani amewahi shika nywele za mzungu au Singasinga?

    Mimi nimewahi shika nywele za Mwarabu jina lake Abduli, ni zamani kidogo kipindi nikiwa kidato cha kwanza. Nilishangaa nilivyozishika kwani zilikuwa ngumu kama manyoya ya kondoo nilitegemea zitakuwa laini. Na wengine mtoe ushahidi wenu. Lakini, kabla sijaongea sana kwanini sisi watu pori tuna...
  6. bahati93

    Tawi La IS Pakistan limedai Kuhusika na shambulizi la kujitoa mhanga

    Mwanaume ni kupigania Idea something not visible hakishikiki. Hakika uo ukanda Afghanistan, Pakistan kuna wanaume haswa ukijichanganya ntu pori kutoka Africa ka chali kao ka kiume kanaweza pita na mbichwa wako, haki hiyo kanda ni chafuu. Kwanza Pakistan ina makomando nomar sana lakini vidume...
  7. bahati93

    Taharuki dira yageuka dera

    Ndani ya jahazi la kusadikika, Lenye uelekeo usiojulikana Wadada kwa wakaka, wamebaki na bumbuwazi. Nahodha wa chombo hayupo wazi Ile dira iliyokuwa mezani Imeponyoka katoa matanga Kashona dera Abiria kwa mabaharia, Wamebaki wanalia Hichi ndicho kisa cha dira kugeuka dera, kama hujaelewa...
  8. bahati93

    Aibu kwa Mhimili wa Mahakama: Kutoka kutumiwa kama kielelezo cha Utetezi wa Haki hadi kutumiwa kama kielelezo cha kuminya Haki

    Lord have mercy, mahakimu wetu ni makunguru, waogaa kupitiliza Wapo katika position ya kuexercise power to the max Lakin wana hofu. Wapo kwenye position itakayowezesha kuwafanya kukumbukwa Daima vizazi vyote vijazo kwa kusimamia haki. Hivi kama hatutaki kuacha alama ya kukumbukwa milele, tupo...
  9. bahati93

    Nashauri China itengwe! Ugonjwa wa Chikungunya walipuka nchini humo, visa 7,000 vyaripotiwa. Marekani yatoa onyo

    Kheeee mbona ngunyaa tenaa... kuna uhusiano gani na kwenda chooni
  10. bahati93

    Trump atabiriwa kuidondosha chini Marekani.Amri zake zimeshindwa Gaza,Yemen na Iran.Haziwezi kufaulu kwa Putin

    Yule jamaa sio Marekani tuu hata Dunia anaweza itikisaa, yajayo yanatisha
  11. bahati93

    Hivi mtu na akili zako timamu unawezaje kufanya kazi ya malipo laki na hamsini Kwa mwezi

    We fala mbona hio nyingi kuna watu wanajitolea zaidi ya miaka
Back
Top Bottom