Recent content by BadoMbali

  1. B

    BBC Swahili Tumewachoka!

    Kenya wako mbele, wanafanya mambo yanayoeleweka, Tanzania mambo yanakwenda mrama unataka wasemeje? miaka 50 ya uongozi wa CCM wanafunzi watoto wa MALOFA wanasoma shule zisizo na vyoo unataka kusifiwa? Ukweli ni ukweli hata kama mchungu
  2. B

    CCM wavunja record ya UKAWA, ni el ninyo

    mimi niliangia luninga TBC kubadili kwenda ITV nikaona utofauti katika ile nyomi. SIO KAMERA TRICK IMECHEZWA PALE KWENYE LUNINGA?
  3. B

    Ufoo Saro, kwanini uteseke na kuumia tu moyoni?

    JAMII FORRUM IMEGEUKA sehemu mtu anashambuliwa kwa kuonyoosha au kukunja uso wake (Victimized by facial exppression). Mods whatvever political inclination you have, this shouldn't be here honestly. we can't attack people just by our interpretation their facial expression. I am Ok if we talk...
  4. B

    TANESCO imekata umeme maeneo mengi ya nchi: Kuna nini?

    Mwaka huu ni KUTATA TU!!!! kwanza kutaka wagombea bila kujali wanakubalika au la, kisha KUKATA umeme hata kama wananchi wanakereka shauri yao, vingine vitakatwa siku zijazo itakapohitajika KIDUMU CHAMA....
  5. B

    UKAWA haikujiandaa kwa mafuriko haya

    katika hali halisi hivi kuna anayeweza kuchagua pakuelekea akizolewa na mafuriko?
  6. B

    Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

    Nasikia ili kuepusha madhara kwa mtoto mara nyingi majibu hapa Tanzania wanayotoka ni kuwa mtoto ni wako,hatakama majibu yalikuwa tofauti. hiyo ni kweli?
  7. B

    Dr. Slaa hatimaye aibuka

    DR SLAA UMEKUWAJE TENAAAA????? hakuna ubishi kwamba Dr Slaa amefanya kazi kubwa kuijenga Chadema, pamoja na viongozi wengine Kina Mbowe, Lisu, Mnyika na wengineo wengi. Na Dr Slaa aelewe pia kuwa kuna wengine walimpisha yeye kugombea uraisi kwa Chadema hapo kabla kwasababu walijua alikuwa na...
  8. B

    Ushauri: Wakati sahihi na wakati mbaya wa kuchukua mkopo wa biashara Benki

    Ndugu uliyeleta hii mada Asante kwa elimu hii nzuri kwenye kujikwamua kiuchumi
  9. B

    Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

    Aibu itoke wapi? vikosi maalumu vya wizi wa kura havipo? kama vipo ushindi wa goli la mkono ni kama kawaida
  10. B

    Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

    hizo milioni 50 kila kijiji ni kwaajili ya nini? au atawagawia wananchi kila mmoja elfu kumi kumi kama kijiji kina watu 5000? , mbona mipango ya hawa CCM haieleweki? Turudi kwenye mipango ya CCM kama chama, Kilimo kwanza kipo wapi? Mabilioni ya JK yako wapi? maabara ziko wapi? MATOKEO MAKUBWA...
  11. B

    Zitto, Shika lako, ya wengine waachie wenyewe! Epuka kumtaja Lowassa kwa ubaya!

    hapo kwenye maneno niliyonogesha kwa rangi umenichanganya. Umempa Zito BIG UP; halafu ukasema aseme ukweli watanzania wajue; mwisho ukamalizia na CCM oyeeee; Sasa Zito na CCM wapi na wapi si yuko ACT yule? au ACT ni tawi la CCM? napata mashaka saaana na mheshimiwa ZITO ZUBERI KABWE (ZZK)...
  12. B

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Joseph Stalin — 'Those who vote decide nothing. Those who count the vote decide everything.'
  13. B

    CCM yatangaza kurudia majimbo 5 kura za maoni

    umejibu kistaarabu sana nimeipenda. Vipi lakini mchaka mchaka wa Edo??? huko kambi ya CCM kunalalika kweli?
  14. B

    Freeman Mbowe aongea na Waandishi wa habari, anaendelea Vizuri

    mkuu UKAWA ni MAFURIKO huwezi kuogelea kwenye mafuriko na kwenda utakako. Lizaboni hana namna zaidi ya kufuatilia mambo ya UKAWA kwasababu ndio habari ya mjini. CCM kwa sasa hakuna Breaking news hata kwenye maisha ya kawaida watu hujaa kwenye Duka au Bar yenye watu wengi...
  15. B

    TANESCO: Taarifa ya kukosekana kwa umeme maeneo ya Gongo la Mboto

    MNAWAOMBA RADHI WA DARESALAAM TU wa mikoani ambapo siku hizi umeme unakatika asubuhi kurudi usiku wa manane sio binadamu??? ACHENI dharau nyie Tanesco, hii ni kampuni ya umma, Tendeni haki nchi nzima... AU MNAKATA umeme mikoani watu wasione mambo ya Ukawa????
Back
Top Bottom