Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,079
- 2,334
Hao wanosema watu walisombwa nawashangaa sana. Ule ulikuwa mkutano wa ufunguzi wa kampeni ya nchi nzima. Wawakishi, wanachama, mashabiki na wananchi wjtoka kila pembe ya mkoa. Mlktaka watu watoke kigamboni, kibamba, pugu, mbagala kwa miguu? Kama mabasi yakutosha usafiri wowote ulikuwa sawa tu.