Ndugu, hali inayokupata hata mimi iliwahi nikuta. Nilikaa miaka miwili baada ya kumalza Advanced Diploma .Usikate tama. Kama hajajaribu kuomba Open Uniersity jaribu pia maana wanacentre kila mkoa. Kapata habari zaidi tembelea mtandao ufuatao:- www.out.ac.tz . Kwakuwa un PhD ninadhani utakuwa na...
Mtu yeyote anayeurahia mwenze kuuawa, huyo siyo mkristo wa kweli. Kitabu kitakatifu BIBLIA imeagizausiue. Awe Mwislam au Mkristo au Mpagani si wajbu wa Mwanadamu kumhukumu mwenzie. Ubinadamu wanza udini baade
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.