Recent content by Bad Spender

  1. B

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Nipo Kilindi Tanga,tatizo langu ni kwamba ninapowasha simu yangu nikichelewa kuondoa picha ya PAMCHART kwenye screen ya simu yangu,halafu nikifungua OPERAMIN kwa ajili ya Internet basi laini yangu ya voda inaandika INVALID SIM CARD ilhali laini ipo na sijaisogeza wala kuigusa.Na nimejaribu...
  2. B

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Swali langu ni kwamba kuna dhuluma au wizi mnaufanya nyie nmb iko hivi nikitaka kuangalia mathalani salio kupitia nmb mobile mnaniletea ujumbe kuwa huduma hii kwa sasa haipatikani jaribu tena baadaye lakini vocha yangu ya kwenye laini imekatwa na kupungua. Sasa huu si wizi wa hila,iweje...
  3. B

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Siri yako usimwambie mtu na Coretko enzi za miaka ya 90 ilikuwa ni noma Handeni to Dar.
  4. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kuna rafiki yangu yupo Kilindi Tanga idara ya elimu msingi anataka kubadilishana na mwalimu kutoka wilaya yoyote toka mkoa wa Kilimanjaro.No.0687829764 au 0766560556.
  5. B

    Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

    Nashukuru sana kiongozi kwa kunijuza ukweli maana nilikuwa Dilema.
  6. B

    Ajali mbaya yatokea Hedaru Same..watu 10 wafariki papo hapo

    Mungu awapumzishe kwa aman marehemu na awajalie hao majeruhi wapate nafuu.
  7. B

    Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

    Kwani mechi hii imechezwa leo au ni kesho?Msaada tafadhali wanaJF.
  8. B

    Imamu amwagiwa tindikali Arusha

    Pole sana imam Hasan mungu akufanyie wepesi na upate nafuu haraka.Amen.
  9. B

    Nawatakia wanajf wote mwaka mpya mwema 2014

    Na wewe pia mkuu.Lakini kuna kitu nami ninataka kukiongezea hapa,binadamu tumekuwa watu wa kupenda kutii sheria kwa shuruti.Hivyo niwashau wandugu tuupokee mwaka wetu mpya kwa amani ifikapo saa 5:59.Tusije tukafanya fujo zinazoweza kutufanya tuweselo
  10. B

    Ajali mbaya Handeni, basi la Burudani limeua 12

    Mungu awarehemu ndugu zetu wote waliotangulia mbele ya haki, pamoja na kuwapatia nafuu ndugu zetu waliojeruhiwa.Vilevile awape mioyo ya subira wale wote walioondokewa na ndugu, jamaa na marafiki zao.Ameen!
  11. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    anayehitaji kuja KILINDI-TANGA kutoka wilaya yoyote kutoka mkoa Kilimanjaro, nitafute kwa simu namba 0759454267
  12. B

    Vodacom ni wezi wa airtime

    Kiukweli hawa jamaa wanaboa kwani jana usiku nilinunua dakika 20 za kupiga voda-voda matokeo yake asubuhi ya leo nilimpigia mtu wa kwanza nilitumia dakika 12 then nikampigia mtu wa pili nikaongea dakika kama 3.Chakushangaza nilipigiwa alamu.
  13. B

    Ratiba ya uzee

    Hiyo kali mkubwa na haina ubishi.Kwakuwa kila mtu atapitia huko unless otherwise afe akiwa bado ni kijana.
  14. B

    Si unapenda XX?tazama hii

    Haya umewaweza wale waliozoea mimacho kodokodo.
Back
Top Bottom