Kiukweli hawa jamaa wanaboa kwani jana usiku nilinunua dakika 20 za kupiga voda-voda matokeo yake asubuhi ya leo nilimpigia mtu wa kwanza nilitumia dakika 12 then nikampigia mtu wa pili nikaongea dakika kama 3.Chakushangaza nilipigiwa alamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.