Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Nakumbuka Yanga iliitwanga 5-1 Ashanti, ikailima 7-0 Komorozine, Ruvu Shooting nao walikula 7-0, leo tena 5-0 kwa Prisons. Ole kwa timu itakayofunga pazia la ligi na Yanga itapigwa zaidi ya 5-0. Mwenye masikio ya kusikilia na asikie.
Yanga hawezi tufunga zaidi ya tatu!na kwa taarifa yako tunakupiga tu
 
Nakumbuka Yanga iliitwanga 5-1 Ashanti, ikailima 7-0 Komorozine, Ruvu Shooting nao walikula 7-0, leo tena 5-0 kwa Prisons. Ole kwa timu itakayofunga pazia la ligi na Yanga itapigwa zaidi ya 5-0. Mwenye masikio ya kusikilia na asikie.

Nadhani wamesikia na hilo wanalijua....lakini ngoja waje wenyewe utawaona watakavyopinga
 
Ashant united leo Ushindi ni lazima kwa hawa wajeda..Chamazi Complex
 
Kwa mwana jamvi yeyote mwenye updates za hii mechi tafadhali tunaomba atujuze
 
Ashanti anashinda leo, hao Oljolo wapigwe tu ili washuke daraja manake timu za jeshi zimekua nyingi mno.
 
Mgambo kamchapa kandambili goli tatu,zote za penalty...golikipa wa yanga dida ameshikwa tena kwa uchawi kama ilovokua kule misri...
 
Back
Top Bottom