Recent content by bacoche

  1. B

    Makato haya ya gharama za tigopesa kwenye Manunuzi ya LUKU, imekaaje hii??

    Wanakata vat sasa hivi ya 10%kila manunuzi yanayofanyika.
  2. B

    Polisi akipokea rushwa live

    Wataweka kwenye soksi
  3. B

    Makanisa mpunguze michango jamani. Hasa RC, kuna nini siku hizi?

    Michango inakuwa mingi sababu tunaiba kwenye zaka,cha mhimu tulipe zaka kikamilifu hutasikia mchango hats mmoja
  4. B

    Serikali kukataza wenye nyumba kukusanya kodi ya miezi 6, yasema inaumiza wengi

    Hata kwenye mashule na vyuo tulipe kila mwezi,kwani hata serikali inalipa mishahara kila mwezi kwanini ss tulipe miezi sita?
  5. B

    Nisome vipi ili nifaulu vizuri mchepuo wa PCB?

    Kusoma nikuelewa, kukesha ni mbwembwe tuuu
  6. B

    Kuhusu data: Zitto "ambishia" Rais Magufuli

    Awe makini nawatuu wasiojulikana,
  7. B

    KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

    Njaa bora ibaki tumboni ikipanda kichwani ni hatari
  8. B

    Ufafanuzi wa kina juu ya (vyeti) elimu ya Makonda

    Alifanya hiyo kazi akiwa na umri gani? Mbona ajira zake zinaongezeka,msije mkaumbuka tena
  9. B

    Kazi na dawa

    Kunywa pombe sio Zambi,ila pombe ni mzizi wa zambi, ukiizidisha ndio inaweza kukusababishia zambi, hivyo unashauriwa kunywa kiustarabu.
Back
Top Bottom