mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,282
- 6,162
sasa asipochukuwa wengine tutaumia yaani niko over speed nikalipe 30 badala nimpe elfu 5 kila mtu alale mbele
Hahaha hahahajamaa fala kweli, tutaandikiwa 30K mpaka tukome
Bora tusio na magariKwani cha ajabu ni nini. Sisi tushazoea kutoa 10 kila siku. Maana hakuna wa kuwakemea. Nani yuko tayari kwenda kuacha gari polisi hadi ukalipe hiyo 30, au kwenda mahakamani kama umekataa kosa? Maana traffic police akishang'amua kua umekiuka sheria ya usalama yeye ndo mwisho. Hakuna haja ya kugombana nao. Msimbazi halali yao.
Hahaha eti kila mtu alale mbelesasa asipochukuwa wengine tutaumia yaani niko over speed nikalipe 30 badala nimpe elfu 5 kila mtu alale mbele
Yaani nimemekasirika kweli kweli .... vitu vingine ni kusaidiana tumnatuharibia jamani..30k parefu...
Katika pita pita nimekutana na hii video ikimuonyesha askari Polisi kijana kabisa akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari ndogo. Pamoja na hali ilivyosasa lakini mambo bado hayajabadilika. Namshauri Mh. Magu aondoe mifuko kwenye sare zao labda kidogo tutapunguza hili tatizo.
Hata kama huna kosa wakishang'amua kuwa umekosa, na ameshachukua leseni yako bora mmalizane. Mfano sheria ya zebra crossing, hakuna mahali inasema usimame na kuwasha double hazard hata kama hakuna mtu anayetaka kuvuka. Lakini wamesimamia hapo, na wanakusanya 10k kila siku. So lipi bora? Utoe 30k au 10k ulale mbele 🙂😛😵Inasikitisha sana...
Ila kama huna kosa kwa nini utoe pesa...
Ukiona unatoa pesa basi ujue unamatatizo...
cc: mahondaw
Ndo ujinga wa teknologia unampiga Picha mwenzio unairusha kumuharibia Kazi mwenzio kisha nawe uliepiga Picha unakuwa hatiani,Mtoaji anacheka utafikiri nae yupo salama, ujinga tu