Habari wanajamvi,
Nina degree ya public relations and marketing nilihitimu mwaka jana, nimeomba kazi sehemu tofauti bila mafanikio. Mwenye mtonyo wa ajira anijulishe lakini nakata tamaa ya kutafuta kazi maana nimechoka.
Nina business plan yangu lakini sina mtaji dooh masikin mie! Tusaidiane...
we nimeshakujua ndo maana kila kitu unaenda kinyume laiti yangekufika ndo ungejua kinachoongelewa ni kweli ama si kwel,bora tu unyamaze maana yalotufika tunataman tukurukie tukung"ate hata pua[emoji45]
wachina wanatengeneza vitu kwa grade vitu tunavyoletewa tanzania grade yake nitofauti na vile vinavopelekwa tuseme labda marekan ivyo usikariri eti wachina vitu vyao feki,wenzio wanaangalia market
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.