Recent content by baby shizzo

  1. B

    Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

    mbona hii habari sio current inaonekana imetolewa 2015 hata tulikua hatujapiga kura
  2. B

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    nitafute Pm nitakuelekeza dawa naamin itakusaidia na utaokoa ndoa yako
  3. B

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    maumbile makubwa nakutokwa maji ni tatizo kwa wanawake wengi ila zipo njia zakutibu tatizo hilo na ukainjoy mchezo
  4. B

    Huyu Binti nataka nimuoe, ila nimeona anadaiwa na HESLB Mil 17 na mwaka wake wa mwisho chuo Alidisco

    tehetehteh kumbe deni lamkopo linaweza kukukosesha mume daah hii nimeipenda na mie nadaiwa mpango wakulipa sina ngoja nitafute mapema wakunioa kabla gemu haijashtukiwa
  5. B

    Nina 'business plan', sina mtaji

    Habari wanajamvi, Nina degree ya public relations and marketing nilihitimu mwaka jana, nimeomba kazi sehemu tofauti bila mafanikio. Mwenye mtonyo wa ajira anijulishe lakini nakata tamaa ya kutafuta kazi maana nimechoka. Nina business plan yangu lakini sina mtaji dooh masikin mie! Tusaidiane...
  6. B

    Tetesi: Daladala route ya K.koo na Posta toka Mbezi na Kimara imezuiliwa

    duuh hii sasa kali uwiii ngoja nirudi zangu mwanza hadi muafaka upatikane nitarejea
  7. B

    Kima cha chini cha mshahara kwa CPA(T) without experience

    Duuuh kumbe,niliombaga kaz sehem na degree yangu yamarketing wakanambia niweke hiyo cpa me nilijua ni Gpa,likawa tatizo,lugha gongano
  8. B

    Kima cha chini cha mshahara kwa CPA(T) without experience

    naona mnaongea sana wengine mnawaacha nyuma,CPA ni nin?
  9. B

    Marketing people are needed

    kampuni iko wap na yaitwaje na wanadeal na nin
  10. B

    Serikali yajikanyaga yenyewe

    we nimeshakujua ndo maana kila kitu unaenda kinyume laiti yangekufika ndo ungejua kinachoongelewa ni kweli ama si kwel,bora tu unyamaze maana yalotufika tunataman tukurukie tukung"ate hata pua[emoji45]
  11. B

    Channel ya Star Tv imeondolewa kwenye orodha ya channel kwenye kisimbuzi cha StarTime?

    me kwangu haipo but nilijua ni king"amuzi changu tu kumbe nawengine
  12. B

    Neno lolote kwa ex wako

    Bado nampenda nayeye ananipenda lakini nimepata mbora zaidi yake,aoe tu mwingine asipoteze mda wake kwangu
  13. B

    TRENI ya kwanza ulimwenguni inayosafiri angani imezinduliwa China

    wachina wanatengeneza vitu kwa grade vitu tunavyoletewa tanzania grade yake nitofauti na vile vinavopelekwa tuseme labda marekan ivyo usikariri eti wachina vitu vyao feki,wenzio wanaangalia market
  14. B

    Viwembe au shaver nzuri za kunyoa nywele sehemu za siri

    kweli waxing ni nzur waweza hata tengeneza mwenyewe
  15. B

    Masikini Waalimu!!!

    tehtehetehe hadi raha maana hii sio karaha
Back
Top Bottom