baby shizzo
Member
- Aug 23, 2015
- 28
- 14
mbona hii habari sio current inaonekana imetolewa 2015 hata tulikua hatujapiga kura
akiingia Bongo lazima watammaliza tuuYaani sipati picha kama ndio angekuwa amedakwa kwenye Awamu hii ya 5..
Siku hizi hana hiyo 'freedom' ya kuja bongo Daslam!
Joyce Kiria nilikuwa namuona kidogo ana akili kumbe hamna kitu kabisa halafu bahati mbaya sijui kama ana fahamu ana tetea nini! Mange anashitakiwa kwakuwa anatukana watu mitandaoni tena matusi ya nguoni na wala si kwasababu huongea facts!
Tatizo la Mange ku ni ku attack watu!
Karibu mjiniKumbe huyu dada alianza kitambo kitambo haya mambo ukweli mimi nimemfahamu zaidi kuanzia mwaka jana ...
Kumbe huyu dada alianza kitambo kitambo haya mambo ukweli mimi nimemfahamu zaidi kuanzia mwaka jana ...
Mkuu kuna uhusiano gani wa kumfahamu Mange na Mwaka wa Kuzaliwa? acha hizo aiseee ...Umezaliwa mwaka gani?