Haahaa mwandishi una mbwembwe eti ameingia kwa mbinu za kisasusi khaa,angekuwa peke yake no waandishi ningeamn kidogo,halafu lile contena la gar mbona kama lilitegeshwa tu maana kama watu waliplan vile basi hawana akili maana kifungua tu gar linaonekana nilitegemea kuwe na nguo nyingiii za kutoa...
Hii ndalichako ameikuta ni Sera ya elimu ya 2014 hii ni kutokana na lifespan yetu mtu anapoteza miaka mingi shuleni,so 2014 ndio sera ya elimu ilipendekeza hivi na pia miaka ya primary itashushwa,na advance walitaka iwe mwaka mmoja tu.
Pasco ingawa huu uzi wa muda sisi wageni bado tunahitaji elimu zaidi juu ya hili pangeni basi siku ya kujadili kwa kina hii mada atleast kwa wiki mara moja.
raha jipe mwenyewe kama hakutambulishi jitambulishe mwenyewe.....yaan ile anamaliza tu utambulisho wa mtoto na ww unadakia "na mm ni mume wake"
ss kama hakupend utaona huo mnuno wake home
Mimi ni msichana(26)ninaishi dodoma.Elimu yangu ni shahada ya project planning managment nina uzoefu wa kazi za research.Nahitaji kupata ujuzi zaid hata kwa kujitolea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.