Ninauza laptop za Hp Probook i5 Processor
Original toka Uingereza
Hazina matatizo yeyote
Hazina michubuko
Hard drive: 500GB
RAM: 4GB
Zipo kwenye hali nzuri sana
Zina Windows 7, MS Office na Antivirus tayari kutumika
Bei chee 700,000/-
Punguzo la bei linawezekana, karibu tufanye biashara...
Abuu Semhando mwanamuziki nyota wa bendi ya African Stars Twanga Pepeta hatunaye tena baada ya kugongwa na gari wakati akiendesha pikipiki kwenye majira ya saa kumi usiku.
Umauti ulimkuta Semhando wakati akijerea nyumbani kwake akitokea kazini ambapo bendi ya Twanga Pepeta ilikuwa ikifanya...
OMARI Mohamed (22), mkazi wa Yombo jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu, shtaka la kutaka kumuua msichana baada ya kukataa kumwingilia kinyume na maumbile.
Akisoma hati ya mashitaka, Inspekta Isaya Mwanga mbele ya Hakimu Aziza Kalili wa mahakama hiyo...
IMEDAIWA kuwa ndani ya miezi mitatu kati ya Julai hadi Septemba mwaka huu watu wapatao 4072 wameambukizwa virusi vya ukimwi katika Manispaa ya Kionodnoni jijini Dar es Salaam
Hayo yalijulikana baada ya kamati ya Kudhibiti Ukimwi katika Manispaa hiyo kutoa takwimu hiyo.
Kati ya watu hao, 1,165...
Zanzibar Yaibanjua Zambia 4-3, Yatinga Nusu Fainali
Timu ya soka ya Zanzibar imefanikiwa kutinga nusu fainali ya kombe la Chalenji linaloendelea nchini Kenya baada ya kuitupa nje ya mashindano timu ya taifa ya Zambia kwa kuilaza kwa magoli 4-3...
Hapo lazima usali sala zote unazozijua na kumuachia mungu yatakayotokea
Ukifikiria kwamba bunduki yenyewe ipo mbali karibu na simba alipo mpaka uikaribie ushageuzwa asusa:):):)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.