Anyimwa 'Tigo' Ajaribu Kuua

Babuji

Senior Member
Nov 27, 2008
197
3
OMARI Mohamed (22), mkazi wa Yombo jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu, shtaka la kutaka kumuua msichana baada ya kukataa kumwingilia kinyume na maumbile.

Akisoma hati ya mashitaka, Inspekta Isaya Mwanga mbele ya Hakimu Aziza Kalili wa mahakama hiyo alidai kuwa,mshitakiwa alitenda kosa hilo Oktoba 10, mwaka huu katika majira ya saaa 2 usiku huko Yombo Kilakala.

Alidai baada ya mshitakiwa kumwambia mlalamikaji kuwa alikuwa anahitaji kumwingilia kinyume na maumbile mlalamikaji alikataa kufanyiwa kitendo hicho na ndipo Omari alimchoma kisu cha tumbo, mgongoni na kwenye ubavu jambo ambalo lilimsababishia kuzirai na kupoteza fahamu papohapo.

Alidai hali hiyo ilimfanya mlalamikaji apoteze fahamu papohapo na kukimbizwana wasamaria wema katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.

Mlalamikaji baada ya siku mbili aliweza kupata fahamuna kueleza umma jinsi ilivyokuwa na mshitakiwa kwenda kukamatwa

Hata hivyo mshtakiwa alipotakiwa kujibu shtaka hilo, alikana na alipelekwa rumande kwa kukosa dhamana, na kesi imeahirishwa hadi Januari 7, mwaka huu itakapotajwa tena.

Source: www.Nifahamishe.com
 
OMARI Mohamed (22), mkazi wa Yombo jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu, shtaka la kutaka kumuua msichana baada ya kukataa kumwingilia kinyume na maumbile.

Akisoma hati ya mashitaka, Inspekta Isaya Mwanga mbele ya Hakimu Aziza Kalili wa mahakama hiyo alidai kuwa,mshitakiwa alitenda kosa hilo Oktoba 10, mwaka huu katika majira ya saaa 2 usiku huko Yombo Kilakala.

Alidai baada ya mshitakiwa kumwambia mlalamikaji kuwa alikuwa anahitaji kumwingilia kinyume na maumbile mlalamikaji alikataa kufanyiwa kitendo hicho na ndipo Omari alimchoma kisu cha tumbo, mgongoni na kwenye ubavu jambo ambalo lilimsababishia kuzirai na kupoteza fahamu papohapo.

Alidai hali hiyo ilimfanya mlalamikaji apoteze fahamu papohapo na kukimbizwana wasamaria wema katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.

Mlalamikaji baada ya siku mbili aliweza kupata fahamuna kueleza umma jinsi ilivyokuwa na mshitakiwa kwenda kukamatwa

Hata hivyo mshtakiwa alipotakiwa kujibu shtaka hilo, alikana na alipelekwa rumande kwa kukosa dhamana, na kesi imeahirishwa hadi Januari 7, mwaka huu itakapotajwa tena.

Source: www.Nifahamishe.com


I knew it
 
Nguli utakuwa na matatizo kidogo kama utaendelea kufikiria kama unavyomaanisha kwa kuhighlight jina la huyo mshtakiwa
 
OMARI Mohamed (22), mkazi wa Yombo jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu, shtaka la kutaka kumuua msichana baada ya kukataa kumwingilia kinyume na maumbile.
Haya wapenda tigo kazi kwenu...pole kwa huyu dada aliyekutwa na balaa hili...
 
omari mohamed (22), mkazi wa yombo jijini dar es salaam, amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya temeke kujibu, shtaka la kutaka kumuua msichana baada ya kukataa kumwingilia kinyume na maumbile.

Akisoma hati ya mashitaka, inspekta isaya mwanga mbele ya hakimu aziza kalili wa mahakama hiyo alidai kuwa,mshitakiwa alitenda kosa hilo oktoba 10, mwaka huu katika majira ya saaa 2 usiku huko yombo kilakala.

Alidai baada ya mshitakiwa kumwambia mlalamikaji kuwa alikuwa anahitaji kumwingilia kinyume na maumbile mlalamikaji alikataa kufanyiwa kitendo hicho na ndipo omari alimchoma kisu cha tumbo, mgongoni na kwenye ubavu jambo ambalo lilimsababishia kuzirai na kupoteza fahamu papohapo.

Alidai hali hiyo ilimfanya mlalamikaji apoteze fahamu papohapo na kukimbizwana wasamaria wema katika hospitali ya taifa muhimbili kwa matibabu zaidi.

Mlalamikaji baada ya siku mbili aliweza kupata fahamuna kueleza umma jinsi ilivyokuwa na mshitakiwa kwenda kukamatwa

hata hivyo mshtakiwa alipotakiwa kujibu shtaka hilo, alikana na alipelekwa rumande kwa kukosa dhamana, na kesi imeahirishwa hadi januari 7, mwaka huu itakapotajwa tena.

source: www.nifahamishe.com
........wacha bwana!:d
 
hilo mbona liko wazi...

Unanifurahisha kuwa PAPE kumbukumbu yako kuhusu matukio kama haya iko shapu. Nashangaa watu wananishambulia. Wakizidi nashusha statistic hapa paomja na picha.
 
Haya wapenda tigo kazi kwenu...pole kwa huyu dada aliyekutwa na balaa hili...

Unajua unapomtongoza mwanamke yeye anajua unaomba K siyo tigo! Sasa wala tigo mnapotongoza mweleze kabisa kama atakupa na tigo!! akikataa basi mle mbele tu siyo vinginevyo!
 
mliwa alikuwa na umri gani?
..Yombo si unajua ni uswazi kule? Si ajabu kukuta katoto chini ya miaka 18 kameshakuwa fuska mbaya! Huyo jamaa huenda aligoma kutoa matunzo ya matumizi ya tigo ndio maana demu alimkatalia...Kidding!
 
OMARI Mohamed (22), mkazi wa Yombo jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu, shtaka la kutaka kumuua msichana baada ya kukataa kumwingilia kinyume na maumbile.

Akisoma hati ya mashitaka, Inspekta Isaya Mwanga mbele ya Hakimu Aziza Kalili wa mahakama hiyo alidai kuwa,mshitakiwa alitenda kosa hilo Oktoba 10, mwaka huu katika majira ya saaa 2 usiku huko Yombo Kilakala.

Alidai baada ya mshitakiwa kumwambia mlalamikaji kuwa alikuwa anahitaji kumwingilia kinyume na maumbile mlalamikaji alikataa kufanyiwa kitendo hicho na ndipo Omari alimchoma kisu cha tumbo, mgongoni na kwenye ubavu jambo ambalo lilimsababishia kuzirai na kupoteza fahamu papohapo.

Alidai hali hiyo ilimfanya mlalamikaji apoteze fahamu papohapo na kukimbizwana wasamaria wema katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.

Mlalamikaji baada ya siku mbili aliweza kupata fahamuna kueleza umma jinsi ilivyokuwa na mshitakiwa kwenda kukamatwa

Hata hivyo mshtakiwa alipotakiwa kujibu shtaka hilo, alikana na alipelekwa rumande kwa kukosa dhamana, na kesi imeahirishwa hadi Januari 7, mwaka huu itakapotajwa tena.

Source: www.Nifahamishe.com


Walewale tu!
 
Mosquito....The fact will always be the fact never will it be an opinion
Inawezekana huyo jamaa anatokea Ireland Kaskazini ambako mapadri wanapowazalilisha watoto kwa kuwaingilia kinyume na jinsia,hata Pope ameliona na amekemea hilo!
 
Nguli utakuwa na matatizo kidogo kama utaendelea kufikiria kama unavyomaanisha kwa kuhighlight jina la huyo mshtakiwa

Matatizo unayo wewe unayepost bandiko bila kujua madhara yake kwa ndg zako hawa.
 
Back
Top Bottom