kwa kuwa Maximo ni kocha wa TANZANIA,endapo kili starz ikitolewa basi aende akaongeze nguvu kwenye benchi la Zanzibar(mapinduzi star)
ni kweli zanzibar imeitoa zambia kwa mikwaju ya penati, baada ya golikipa wa zenji kuokoa mchomo mmoja wa penati
Na hii hapa chini imekaaje?Kocha wa Zanzibar Heroes anaitwa "Hemed Morocco" na wala sio Mmoroco kwa maana ya raia wa Moroco kama mchangiaji mmoja hapo juu alivyoeleza.
Wadau mnasemaje game inayofuata na Waganda,,,,kaaaazi kweli kweli
KILA LA KHERI KILI STAR,,,funga hao eritrea wakapigane vita.
Zanzibar's coach Hemed Abdelatif of Morocco was understandably elated.
kwa kuwa Maximo ni kocha wa TANZANIA,endapo kili starz ikitolewa basi aende akaongeze nguvu kwenye benchi la Zanzibar(mapinduzi star)
kwa kuwa Maximo ni kocha wa TANZANIA,endapo kili starz ikitolewa basi aende akaongeze nguvu kwenye benchi la Zanzibar(mapinduzi star)
...Si mwasemaga wamehorojeka waleee??!! Eti kazi kula tambi na urojo wa viazi wa tu??? Sasa wansubiri huyo Makisio wenu wamtie adabu!!Yakhee zanzibari mpira upo ati.........
Huyo mbona si raia wa Morocco jameni??Na hii hapa chini imekaaje?
..Hakuna cha Maximo mazee, wachezaji wetu vilaza wale. Hata ungemleta Ferguson au Ancelloti wale mbona uwezo wao umefika mwisho? Hili Jambo hata marehemu Zacharia Kinanda "Sachi" alipokuwa akifundisha Taifa Stars aliwahi kusema!!! Ngoja Stars wajaribu lakini hata kama tukishinda ile timu bado sana, na usishangae Eritria wakituduwaza leo!!!leo tukichapwa hata mie nitaona maximo sasa anaharibu