hawana ukarimu wowote mkuu..nimefika katika baadhi ya nchi zao hakuna ukarimu walionao labda unambie dubai atleast wako vizuri na hii ni kutokana na muingiliano mkubwa na wageni..
Sent from my SM-G313H using JamiiForums mobile app
kweli mkuu mi ningeona ana akili kama angeanza kuweka wazi mikataba ya ununuzi wa ndege bombadier, ujenzi wa flyovers na reli...sio kuleta longongo za kipuuzi
eti anauliza nani alietuloga..???.huyu rais vipi ilitakiwa ajiulize na awaulize ccm wenzake nani aliewaroga wao akiwepo na yeye mana wao ndo walipitisha hii mikataba yote halafu anajifanya anashangaa.ccm ni janga baya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.