Nataka utoe ushahidi WA hao waliofanya hizo Project hizo majina yao. Ukiwa hujafanya research huna haki ya kusema. Tqfadhali chunga mdomo wako kama huna la kusema. Hebu wewe fanya project moja tu ya kuandika hata Aya moja inayofanana na aya katika Qur'ani takatifu ili uweze Ku prove unachokisema.
Kweli hawa wanataka kick. Mashtaka gani hata? Na pengine hawa ndio wanaomuharibia Mheshimiwa hata kwa kujidai kutaka kumuongezea muda WA kukaa madarakani kwa kipindi cha miaka saba kinyume cha katiba.Mungu awashinde kabisa.Amin.
Jazba haijengi lolote la msingi no kuchukua hadhari na viongozi hawa. Kuna wengi wamevua magwanda Sasa hivi wanamuomba Mheshimiwa awapangie nafasi za kazi wakati huku kwetu tuliwapa nafasi kubwa na ofisi wameondoka. Huyu Mzee ana hamu ya kuingia ikulu japo li SAA moja na nusu na amefanya hivyo...
Kwake maendeleo ni kuwa na barabara ambazo hazina kona yoyote zimenyoka sawasawa viongozi waliotangulia hawakuliona hilo. Hapa kazi tu hakuna kulala wala ibada.
Wewe unathubutuje kumuita Lowasa mwizi ? Hivi hii chuki ya aina gani uliyonayo? Wewe kweli in mtanzania au mkabila mkubwa wewe.MTU anakuwa hana kosa mpaka ithibitike mahakamani. Acha propaganda zako kwenye JF.
Hapana jamani Mramba amezidi kiburi hakujali hata wakubwa wake.Inakuwaje anajiamulia maamuzi makubwa bila kutaka ushauri hata kwa Waziri? Anajiona bado yuko awamu ya NNE.Kheri ya mwaka mpya Mramba umetusumbua sana weeeee.
Gardner alizidi nae acha yamkute. Kila kitu bure mwenzake akienda mikoani kutafuta yeye anaonesha chaps kitandani kwa Jide. Sijui watu wengine bwana wako vipi? Anachoonesha Jide in nafasi iko wazi tujitokeze akina baba jamaa kabwaga manyanga.Ulevi bwana? Na wanaume kama mabinti.Aibu Gardner.
Tido aliondoka kwa shindikizo LA mahojiano ya kampeni za ugombea Urais kinyume na matakwa ya chama tawala. Hawataki kuambiwa HAO waache waboronge muda unaisha.
TBC wanaambiwa mini watangaze na mini wasitangaze. Ubunifu utoke wapi ? Rioba alikuwa mkosoaji nje ya uwanja, Sasa amepewa Nazi ulimi unamtoka anaomba dakika 90 ziishe. Keisha kabisa.
Hawana jipya TV yao na Radio yao wameizuia kutoa habari LIVE walikusudia nini? Waliona watakuwa wanawazuia wabunge was upinzani kuonekana na kusikikika.Hawana jipya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.