Unatarajia mtu alikuwa ndani ya gari kama lile anaweza sikia mvumo wa kutoka nje ya gari tena akiwa anashambuliwa?
Nadhani watu walioko nje ndio wanaoweza kusikia kwa ufasaha aina ya milipuko,na usisahau kwamba wengine katika hao walishapita JKT na hivyo kufahamu baadhi ya silaha
Kusoma hujui,hata picha nazo pia huoni?
huu urasimu ndio ambao unapindishaga ukweli,eti mtu unaona kabisa kwa macho ya nyama kwamba hii kitu ni YELLOW, but kwa kua sio msemaji unapingwa na yule mwenye mamlaka amatangaza kwamba kitu kile kile mlichokiona kwamba ni cha YELLOW eti ni RED na wote...
Usimuhukumu Pastor Gwajima,maombi yanautaratibu tofauti,yaani kuna maombi binafsi ambayo sio lazima yatangazwe,kisha kuna maombi ya mapatano au ya pamoja,hapa watu(washirika) huarifiwa ili kuweza kushiriki ikibidi kwa kufunga.
Bila shaka ndio maana yake akatangaza kuongoza maombi ya kanisa zima
Ila hawa jamaa mi nadhani wamevurugwa,wanatuhumu ufisadi wa Mh.Mbowe kwemye ruzuku ya chama,mbona hawaleti ushahidi kama wenzao wafanyavyo?
Chademaaaa,kamata mwizi men
Kuandika Katiba kwa kushirikisha wananchini sawa, Kuandika
katiba kidemokrasia zaidi ni sawa, lakini tunatakiwa kuangalia
mbali zaidi ya hapo. Umewashrikisha watu, watu gani?
Demokrasia zaidi imetumika, demokrasia gani? Katiba ni bora
bora kwa nani?
Kama unawashirikisha watu amabo hawako...
Haaa!,mbona sasa mimi situmii kwa sana hivyo vyakula lakini leo mashine yangu imeaimama dede tangu saa10 alfajiro hadi sasa,imebidi niende hospitali wandugu,yaani inauma mbaya na sijapata jibu la hali hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.