Wapendwa nafikiri kuna mapungufu kidogo ya kiuwakilishaji wa taarifa kitu ambacho kimepelekea baadhi ya wachangiaji kuja na comment zisizopendeza zikiwemo zenye viashiria vya kikejeli , ilivyo ni kwamba huyu marehemu aligongwa na gari akiwa mazoezini na ndicho kilichopelekea umauti wake.
Acha kujibishana na mpumbavu watu watashindwa kukutofautisha naye, kukaa kimya ni jibu kwa mtu wa aina hiyo cause kumjibu ni kumpa attention aweze kuendeleza upuuzi wake.
Futa kauli mzee, katika waandishi ambao hawana mbambamba humu jukwaani huyu mwamba ni namba moja, na ukumbuke hii sio kazi yake kuu ana majukumu mengine lakini kila siku lazima a post, kuna wangapi humu anawatupia episode nne halafu mwendelezo njoo WhatsApp, so kuwa mvumilivu subiri burudani.
Dah hii stori imenikumbusha mbali sana kuna kipindi tulikuwa tunaangalia tamthilia fulani itv but ilikuwa ya wakenya ikiitwa tausi watu walikuwa wanatoroka hadi kwenye shughuli muhimu kuiwahi, sasa hapa kuna mfuatiliaji mmoja kanichekesha sana maana baada ya kuona hii episode ya mchana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.