miana amor
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 966
- 1,495
Basi hakuna shida kwa leo ntawatolea ila kesho walipishe fain tu,alf kuna watu waroho sana ikifika usiku wanakua wa kwanza kuwahi jamvinikwanini umewaacha wamerawanyika vyombo wameacha hapo hapo halafu baadaye waanze kulalamika njaa