Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,166
- 22,751
Basi siondoki sasaBasi tuachane nae, akiona hatumzingatii ataondoka mwenyewe.
Basi siondoki sasaBasi tuachane nae, akiona hatumzingatii ataondoka mwenyewe.
Funika kombe mwanaharamu apite mkuu
Hana simulizi yoyote huyo kazi yake kulinda milango
Acha kujibishana na mpumbavu watu watashindwa kukutofautisha naye, kukaa kimya ni jibu kwa mtu wa aina hiyo cause kumjibu ni kumpa attention aweze kuendeleza upuuzi wake.
Kwasababu umekuja kusoma na unajifanya husomi, wewe soma kimya kimya sio unijifanya unadis huku unasoma Pili pili hoho weKwa nini unamshauri hivi?
Kwasababu umekuja kusoma na unajifanya husomi, wewe soma kimya kimya sio unijifanya unadis huku unasoma Pili pili hoho we
Hahahaa kumbe kijana mpole yumo humu anajisoma?Ewaaaaaaaa yaan sisi tuko pamoja na ww
Ulipo tupo nikiwa na kijana mpole Mani Fabian pamoja na mwenyekiti wetu kipenzi @Daud1 hatuwez kukuangusha
Unafahamu kama idd mahadh hana jino moja 😂Natamani kurudi timu talib sio kwa mipango hii konk
Maneno mazuriUKIJIONA WEWE WANACHOFANYA WENGINE WEWE HUWEZI UNAKAA KIMYA NA KUTEMBEA HUWEZI UKAJIFANYA UNAKUNYWA POMBE ZA BEI HALAFU UKAENDA KILABUNI KUJISIFU KUWA HUNYWI POMBE ZA BEI RAHISI NA WAKATI HUO UMEKAA HAPO HAPO, UNAKUWA HUNA AKILI.
Abou Shaymaa leta tembele, tumeshaandaa debe la ulanzi hapa,
WE JAMAA LETE MUENDELEZO AU HADI UBEMBELEZWE?Hahahaa kumbe kijana mpole yumo humu anajisoma?
Ndio🤣🤣Hahahaa kumbe kijana mpole yumo humu anajisoma?
Hapana lazima nipewe ulinzi wa kutosha kabisa Mani Fabian sikuamin🤣🤣🤣dah! haya yote yanatokea wapi
Sema jamaa anazidi kuuchangamsha huu Uzi. Nimeipenda hyo.UKIJIONA WEWE WANACHOFANYA WENGINE WEWE HUWEZI UNAKAA KIMYA NA KUTEMBEA HUWEZI UKAJIFANYA UNAKUNYWA POMBE ZA BEI HALAFU UKAENDA KILABUNI KUJISIFU KUWA HUNYWI POMBE ZA BEI RAHISI NA WAKATI HUO UMEKAA HAPO HAPO, UNAKUWA HUNA AKILI.
Abou Shaymaa leta tembele, tumeshaandaa debe la ulanzi hapa,
Sawa mkuu nimekuelewa ila hizo nakuachia utunge wewe waburudike hao unao wataka hao uliowataja hakuna ulazima wa wote kutunga hizo... Shukran kwa ushaurUWE SASA UNAJISOMEA SOMEA ILI UWEZE KUTUNGA HADITHI ZA WATU WENYE AKILI. HIZI UNATUNGA ZA KUSOMA MABEKI TATU NA VILAZA WENGINEO.
Sawa mkuu nimekuelewa ila hizo nakuachia utunge wewe waburudike hao unao wataka hao uliowataja hakuna ulazima wa wote kutunga hizo... Shukran kwa ushaur
Jitahidi kuficha upumbavu wakoUna IDs ngapi? Maana ulisahau kuwa hapa unatumia hii ya Daudi na ya Abou Sha....
hahaha umeolewa?Kwa heshima ya mwenyekiti wetu wakijiji cha Luhila, jamn mm ni MWANAMKE
Shusha mzigo mkuuHahahaa kumbe kijana mpole yumo humu anajisoma?
Sawa mkuu nimekuelewa ila hizo nakuachia utunge wewe waburudike hao unao wataka hao uliowataja hakuna ulazima wa wote kutunga hizo... Shukran kwa ushaur