SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA THEMANINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA THEMANINI: “mimi nipo hapa kwasababu nime wasindikiza wazazi wangu, ambao wamealikwa mahali hapa, pia isitoshe nina mchumba wangu, ambae natarajia kumchumbia hivi karibuni, naomba mniwie radhi, nadhani hata binti yenu, ataishi na mimi kwa wasi wasi endapo atagunduwa kuwa nimemuacha mschana mwingine kwaajili yake, hivyo nisameheni na pole ni kwa usumbufu” alimaliza Higgno na kukaa chini………… ENDELEA…………
Hakika kati ya watu walioshikwa na mshangao mkubwa ni mama Soraya, ambae hakuelewa kwanini kijana huyu ameamua kufanya vile, hapo mama Soraya akaelekeza macho yake kwa Soraya ambae alikuwa bado amekaa, huku kichwa amekiinamisha chini, wakati huo mzee Frank aliekuwa amekaa karibu na Higgno akamuuliza, “wewe una uhakika na unacho kisema au bado una kale katabia kako kakuogopa waschana?” aliuliza mzee Frank kwa sauti ya kunong’ona, kabla Higgno hajajibu lolote kwa baba yake mzee Frank nae akasimama, “samahani jamani, naomba msiyasadiki maneno ya huyu mtu, ni kijana wangu nina mfahamu vizuri kabisa, anaogopa wanawake toka akiwa mdogo, usikute hapa anaogopa, ni kweli kabisa sijawahi kumuona na mschana” alisema mzee Frank, ambae aliona simanzi kubwa iliyotanda mule ndani, ambayo ilimezwa na kicheko toka kwa watu wote, hata Soraya mwenyewe japo alivalia niqab, lakini kilisikika kicheko chake laini, kitendo ambacho kiliwashangaza na kuwa liwaza watu wale, maana inawezekanaje mschana anae kataliwa mbele ya wazazi wake akacheka mbele yao.*******
Naam tukirudi kule porini chini ya mti wa muembe, tayari awamu ya kwanza ya kupeana dudu ilishamalizika kwa bao moja bila, maana licha ya mzee Njogopa kumaliza safari yake kwa mbwembwe za kelele na mipagawisho, lakini alimuacha mama Hilda akiwa na hamu zake, kwa maana ule mchezo uliochezwa kwa dakika tatu haukumfanya mama Hilda ajisikie chochote, hivyo licha ya kuwa walikuwa wanaendelea kunywa ulanzi wao na bwana Njogopa alikuwa amesha pandisha suruali yake, lakini mama Hilda yeye alikuwa bado amepandisha gauni lake mpaka eneo la tumboni, huku amejifunika kwa kanga sehemu za kiunoni kuzuia kitumbua chake na maziwa yakiwa wazi,
Wakiwa wamekaa juu ya kanga iliyo tandikwa chini waliendelea kunywa pombe kwa muda wa dakika kama kumi hivi, huku mama Hilda akiwa na hamu ya kuingiziwa dudu, akaona Njogopa anachelewa kulianzisha la pili, ndipo alipoamua kulianzisha mwenyewe, “mwenzio wala hujanikuna, hebu niiamshe tufanye tena, halafu twende kijijini tukanywe ulanzi wetu” alisema mama Hilda huku anaingiiza mkono kwenye suruali ya Njogopa na kuibuka na dudu, ambayo ndio kwanza ilikuwa inakauka kauka maji maji ya kitumbuani, lakini bado ilikuwa imelala kwa uchovu, kisha akaanza kuichezea chezea.
Naam licha ya kuichezea kwa dakika tano nzima lakini dudu ya Njogopa haikuonyesha dalili ya kuamka, “yaani anashindwa na kile kibabu kule shamba” alijisemea moyoni mama Hilda, huku akizidi kuichezea dudu ya mzee huyu, “bado kamegoma yaani hapo mpaka nipumzike kidogo” alijitetea Njogopa, lakini mama Hilda akaonekana kupingana nae, “itaamka tu, ngoja niiname halafu uchezee kwenye kum*.. yangu” alisema mama Hilda, huku anaondoa kanga yake na kupiga magoti akiinama kiasi cha kifua chake kugusa chini, akitanua miguu kwanguvu kabisa, makalio yakiwa yameinuka juu na kufanya sehemu zake za siri zionekane kwa uwazi kabisa, “haya njoo sasa” alisema mama Hilda na kutulia kusikilizia dudu ikigusa kitumbua, lakini akaona kimya, “unangoja nini bwana we chezea Kum* kwa hiyo mbo** yako” alisema mama Hilda, na bado akaona ukimya hakukuwa na jibu lolote, mara akasikia vishindo vya karibu kabisa toka nyuma yake, “unangoja nini bwana au una nguvu za kuku mwenzetu..” alisita mama Hilda baada ya kugundua kuwa vishindo vile havikuwa vya Njogopa na havikuwa vya mtu mmoja, ile anainuka ili atazame nani alikuwa anakuja, akashtuka anatandikwa teke la kwenye kitumbua ambacho kilikuwa kimeachama kwa nguvu, na kubinuka kibindura, (kuvilingika) “mama yoyo! mleteeee!!!!” alipiga yowe mama Hilda huku anagala gala chini, na kujishika kitumbua chake akikipooza maumivu makali aliyo yasikia, “mshenzi wewe mwanamke, yaani umemloga mume wako ili uje ulale na waume za watu” alisikika mke wa njogopa akisema kwa Hasira, na hapo ndipo mama Hilda alipogunduwa kuwa watu walikuwa ni wengi sana, na wengine walizidi kuja huku bwana Njogopa tayari alikuwa amesha kimbia, ili onyesha kuwa alikuwa amewaona mapema watu hawa.
Naam hapo kilichofwata ni kipigo cha mwaka kumshukia mama Hilda, ambae kila alipo jaribu kujipapatua alishindwa na kuendelea kupewa kipondo cha mwaka huku akichaniwa nguo zake, wapigaji walipania kumtembeza uchi na kweli waliamua maana baada ya kuwa wamemponda ponda vya kutosha wakaamua kumchukuwa na kumpeleka kijijini huku akiwa amevalia vipande vya nguo na sio nguo tena.
Lakini bahati ilikuja upande wake, ni baada ya kukutana na mwenyekiti wa kijiji na mabalozi wake, ambao walipewa taarifa ya tukio la kwenda kufumaniwa mama huyo na mzee Njogopa huko mashambani na wakaamua kwenda huko mashambani njia ya madimbeni, na kukutana nao njiani hivyo ndiyo ilikuwa salama ya mama Hilda ambae mpaka sasa alikuwa amesha kusanya karibu nusu ya kijiji, wake kwa waume watoto vijana na wazee waliokuwa wanajionea utupu wa mwanamama huyu, ambae mume wake alikuwa amelala kwenye kitanda cha zahanati, na kwa kutumia wanamgambo wa kijiji wakafanikiwa kumchukuwa mama Hilda na kwenda kumuhifadhi kwenye ofisi ya kijiji.******
Naam marafiki wapya yaani Idd na Talib, walikuwa wametulia kwenye moja ya kona mule ndani ya bar, wakinywa pombe zao taratibu, tayari Talib alikuwa amesha kula ugali na samaki alionunuliwa na Idd, ambae baada ya kuusikia mpango wa Talib aliupenda na kuridhika nao, “hilo tu Talib wala usiwe na wasi wasi, tutakuwa pamoja,. tena tunaenda kujazama futa kabisaaa kisha tunaenda kuwachukuwa hao jamaa zako tunakuwa hapa karibu tuna soma mchezo” aliongea Talib akionyesha kuwa na furaha kubwa sana kwa maana kwamba aliamini hiyo ndiyo safari yake ya kufanikisha kuondoka tena nchini kuelekea msumbiji au Malawi, “punguza haraka Idd, tupige zetu mtungi hapa wale watakuja wenyewe, hakuna aja ya kuwafuata” alisema Talib ungesema alikuwa na fedha ya kunywea hiyo pombe yenyewe, “poa, lakini inabidi tuwe makini sana, maana tukifanikiwa tutawin maisha” alisema Idd, na hapo ni kama alikuwa amemkumbusha jambo Talib, “hivi kwenda south ni shilingi ngapi?” aliuliza Talib kwa shauku.
Na hapo Idd akaanza kumpanga Talib, kuhusu maisha ya raha na anasa ya huko msumbiji na south afrika, lengo likiwa ni kumshawishi Talib waondoke wote, akiamini kiasi kikubwa cha fedha kati ya zile watakazo ziiba kwa Mahamud wataondoka nazo wao kuelekea South, “kama vipi tukishaiba fedha tuondoke zetu kwenda huko” alisema Talib ambae ni kweli alisha shawishika na kubadili mawazo kutoka lile la kwenda dar na kuamua kwenda south, “we unadhani kwanini mimi nimekubali kushirikiana na wewe kwasababu nataka nitimke zangu kwenda huko” alisema Idd, na hapo wakakubaliana hivyo na sasa waliendelea kunywa pombe wakisubiri muda.********
Higgno alizidi kushangazwa na jambo lile, ukweli alimfikiria Soraya, endapo atasikia kuwa amekabidhiwa mchumba mwingine atakuwaje, na atajisikiaje, Higgno alitamani kusimama na kupingana na baba yake, aliesema kuwa anawaogopa wanawake, lakini akawahiwa na mschana alievalia niqab,watu wote wakatulia kusikia Soraya atasema nini, “asalam alaykum” alisalimia Soraya akiwabado amejivika niqab usoni mwake, salamu ile ili wafanya watu wazidi kutulia huku Higgno akijaribu kuilinganisha sauti ile kama kuna sehemu aliwahi kuisikia maana alikuwa anaifananisha, “waalaykum salaam” watu wote wakaitikia, “napenda kuwaeleza kuwa anachosema Higgno ni kitu cha kweli kabisa, yeye sio mchumba wa mtoto wa Mahamud, ila ni mchumba wa Soraya” alisema Soraya mwenyewe na hapo watu wakazidi kuduwaa kwa mshangao, maana walikuwa wanajuwa kuwa mtoto wa mahamud ni yeye na Soraya ni yeye, na hata walipo mtazama Higgno walimuona akitabasamu na kuitikia kwa kichwa, Mahamud mwenyewe akashikwa na mshangao, huku mke wake ambae alishahisi Soraya anataka kuongea nini alionekana kutaka kumzuia asiongee alichotaka kuongea, lakini haikusaidia maana Soraya hakumtazama mama yake, “najuwa wengi hamjanielewa naomba niwafafanulie, huyu kijana munae muona leo ni mchumba wa Soraya, na hakumfuata Soraya kwa kuwa ni mtoto wa Mahamud, nadhani mpaka sasa hajafahamu kama mchumba wake ni binti wa mahamud, na ndie ambae Mahamud” safari hii Higgno alishtuka kidogo, maana maneno yale yalionyesha wazi kuwa Soraya ndie mtoto wa Mahamud, “Higgno hajafahamu kama alialikwa hapa nyumbani kwasababu niliwaalika wazazi wake nikawaeleza kuwa waje nae, nao pia hawajuwi kuwa rafiki wa kijana wao ni mtoto wa mahamud, hivyo naomba watu tuelewe, toka mwaka tisini na nane nilipokutana na Higgno na kila mmoja kuanza kumpenda mwenzake, Higgno hakujuwa kama mimi ni mtoto wa mahamud na hakunipendea kile walicho nacho wazazi wangu” alisema Soraya, huku akiwashangaza watu, hasa Higgno ambae alikuwa anamtazama Soraya kwa umakini kabisa, “na Soraya ambae Higgno anamtaja kuwa mchumba wake ndie mimi” alisema Soraya huku anavua niqab yake usoni na kuacha uso wazi, kila mmoja aliweza kuliona tabasamu pana lililotawaliwa na aibu.
Naam ghafla Higgno akajikuta amesha simama bila kuambiwa huku ameyaoa macho kwa mshangao, akamtazama Soraya kisha akamtazama mzee Mahamud, “sikujuwa kama Soraya ni binti yako” alisema Higgno kwa sauti ya upole iliyo jawa wasi wasi……… ITAENDELEA
 
Mimekosea tu kwenye kucopy samahanini kwa hilo
Dah hii stori imenikumbusha mbali sana kuna kipindi tulikuwa tunaangalia tamthilia fulani itv but ilikuwa ya wakenya ikiitwa tausi watu walikuwa wanatoroka hadi kwenye shughuli muhimu kuiwahi, sasa hapa kuna mfuatiliaji mmoja kanichekesha sana maana baada ya kuona hii episode ya mchana ananiambia aisee wacha nioge kwanza niwe fresh ndio niisome, kifupi nimegundua ndugu mwandishi umeiteka hadhira ya wafuatiliaji wako kwa kiasi kikubwa sana pokea maua yako chief.
 
Back
Top Bottom