Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,366
- 18,152
Sawa sawa
kama haujaipenda si ungepita kimya kimya tu
Sawa basi tuache sisi tuendelee, we nenda kasome hadithi zako.Sijasoma nimeona heading nikajua ndo hadithi zenu hizo.
Mwenyekiti kwa hili naomba niongezee ulinzi uyu kijana Mani Fabian sio mtu mzurii
We umesema hujaisoma ila tayari umeshatanguliza dharau! usihukumu kitabu kwa ubaya wa kava lake, hata ivyo kitu kama wewe hujakipenda, usidharau ukiona wenzio wanakipenda.HILI JI JUKWAA HURU SIJAKOSEA POPOTE PALE.
Sawa basi tuache sisi tuendelee, we nenda kasome hadithi zako.
We umesema hujaisoma ila tayari umeshatanguliza dharau! usihukumu kitabu kwa ubaya wa kava lake, hata ivyo kitu kama wewe hujakipenda, usidharau ukiona wenzio wanakipenda.
Sawa safari njema mkuu, nakutakia kila la kheri.Sawa nawaacha.
Acha kujibishana na mpumbavu watu watashindwa kukutofautisha naye, kukaa kimya ni jibu kwa mtu wa aina hiyo cause kumjibu ni kumpa attention aweze kuendeleza upuuzi wake.We umesema hujaisoma ila tayari umeshatanguliza dharau! usihukumu kitabu kwa ubaya wa kava lake, hata ivyo kitu kama wewe hujakipenda, usidharau ukiona wenzio wanakipenda.
Sawa safari njema mkuu, nakutakia kila la kheri.
Mi siji uko mkuu, nabaki hapa hapa kwa mabeki tatu.Sawa nawe baki salama ukipata nafasi uje pia.
Mi siji uko mkuu, nabaki hapa hapa kwa mabeki tatu.
Sawa nitazingatia ushauri wako mkuu.Acha kujibishana na mpumbavu watu watashindwa kukutofautisha naye, kukaa kimya ni jibu kwa mtu wa aina hiyo cause kumjibu ni kumpa attention aweze kuendeleza upuuzi wake.
Basi tembea bado unafanya niniSijasoma nimeona heading nikajua ndo hadithi zenu hizo.
Hana simulizi yoyote huyo kazi yake kulinda milangomwambie alete jina la simulizi ambayo ameiandika yeye mwenye akili ili tuisome, au anafikili kipaji ni sawa na mata koo, kuwa kila mtu anayo.
achana naye huyo komeoWe umesema hujaisoma ila tayari umeshatanguliza dharau! usihukumu kitabu kwa ubaya wa kava lake, hata ivyo kitu kama wewe hujakipenda, usidharau ukiona wenzio wanakipenda.
Napump bado. Subiri nimalize.Basi tembea bado unafanya nini
Basi tuachane nae, akiona hatumzingatii ataondoka mwenyewe.Hana simulizi yoyote huyo kazi yake kulinda milango
Funika kombe mwanaharamu apite mkuuBasi tuachane nae, akiona hatumzingatii ataondoka mwenyewe.
achana naye huyo komeo